Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,826
- 11,530
Ngoja nisikilizie mkuu huenda nikapewa kama continous assessment test.Sidhan ka atakupa kwa mtongozo huu!
Ngoja nisikilizie mkuu huenda nikapewa kama continous assessment test.Sidhan ka atakupa kwa mtongozo huu!
Mleta mada ni mmoja tu sisi wengine siyo wasumbufu.Mnataka makalio makubwa, papuchi zivute, ziwe ndogo, ziwe tamu... Mbona nyie ni wasumbufu hivi
Aaaaah wapi hebu bugia mkaa harafu uimajin ni pipiSamaki mwenyewe ana ladha sembuse binadamu akose?Kila mtu ana ladha bwana hakuna cha kula mananasi au mapera.Na isitoshe utamu wa pipi ni mate yako
Mpaka leo unaishi kwa kuimagine?Ukila mkaa utakutana na ladha ya mkaa so siwezi kuimagine kuwa nakula pipiAaaaah wapi hebu bugia mkaa harafu uimajin ni pipi
Harafu niambie kama radha itakuwa ya pp
Unakili kuwa radha ya kitu siyo mate ya mtu bali ni radha ya kitu chenyewe kitafunwachoMpaka leo unaishi kwa kuimagine?Ukila mkaa utakutana na ladha ya mkaa so siwezi kuimagine kuwa nakula pipi
Raha ya choo ukute kinanukia vizuri, sio unakuta kichafu ukikojoa tu unakimbiaWanaume acheni kututesa asee.....
Hayo mafuta tule, tukiota vitambi mtuseme!!!!!
Hivo hivo tu ilmradi mnakojoa inatosha jamani tuoneeni huruma
Ha ha ha ha ha ha haWanaume acheni kututesa asee.....
Hayo mafuta tule, tukiota vitambi mtuseme!!!!!
Hivo hivo tu ilmradi mnakojoa inatosha jamani tuoneeni huruma
Dem akiwa na kitambi ni hatari zaidiAma kweli mwanaume ni kama kinyonga.Kila mda anabadilika leo hii tule mafuta matumbo yakitutoka na kunenepa mnaanza kutusema tena kuwa tuna vitambi eeeh kweli ni shidaaaa
Wanaume acheni kututesa asee.....
Hayo mafuta tule, tukiota vitambi mtuseme!!!!!
Hivo hivo tu ilmradi mnakojoa inatosha jamani tuoneeni huruma
uko sahihi ila umetia huruma.Wanaume acheni kututesa asee.....
Hayo mafuta tule, tukiota vitambi mtuseme!!!!!
Hivo hivo tu ilmradi mnakojoa inatosha jamani tuoneeni huruma
Mkuu wewe unayatumia sana lkn bado unajihisi huna utamu?Mbona mambo!! itabidi nirejee kwa Bibi nikamulize vizuri,nilidhani miti ya asili ndio inafanya kazi kumbe mananasi!!
lakini mbona nanasi nakula sana mpaka sometimes nahisi jasho langu linanuka nanasi na sioni kitu,ukinambia miti shamba kuna dawa flani ya kuchemsha ni mizizi kwanza inatia joto mwilini,na unakua kama hujazaa hata mtoto mmoja,yani unajipenda hata mwenyewe na sifa unazipata kemkem na zawadi juu,nanasi,Kiwi,ndizi na Embe nayapenda ajabu
hasa Embe Dodo ya Tanga mmmmmmmmmmmmh matamuuuuuu..
Nani kaongelea harufu hapa?Hili somo limeshindwa kuingia kichwani mwangu maana nimeshindwa kuelewa uhusiano wa hayo matunda na harufu ya papuchi. kuna wadada wanapenda matunda wanaweza hata kufunga nayo ndoa but siamini kama papuchi zao zina ladha tamu kama matunda wanayokula
Mashamba ya nanasi halaf utamu empty [emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwa wanawake wa siku hizi hakuna kinachowafanya kuwa watamu kuliko pesa. Kadiri ya pesa unayotoa kwake ndio utamu unaongezeka. Unaweza mpa hata mashamba ya mananasi na vitunguu lakini bila ya pesa hakuna utamu ng'o.