Vya kiume

Hawa warembo mara nyingi nawakutaga pale Katumba Bar Kinondoni na shost wao Lulu kimwana wa Twanga Pepeta
 
Hawa wote ni wakazi wa Magomeni na wanapatikana sana Kwa Frank Pub na Lango la jiji, ukipata nafasi ya kusikia story zao za jinsi walivyoanza huo umarhun unaweza kulia, wengi wao wameharibiwa na ndugu zao wa damu kabisa, kwa sababu ya haya mambo ya kiafrika ya kulaza watoto wadogo na watu wazima chumba kimoja bila kuwa na ufatiliaji! Na wengine ni boarding zetu za kiswahili hizi! Huyo mmoja anaitwa Bilal mashauzi, ana wenzake kina Aunt Khamis na wengine wengi, wako kibao!
 
Naamini kabisa mazingira, malezi plays a big role. Hasa maisha yetu haya ya uswahili ni shida kweli, kuna michezo ya ajabu ajabu
 

mkuu umesema kweli, binafsi mimi kwangu ukija mgeni wa kiume utaishia kulala kordoni ama sebuleni, silazi mgeni na mwanangu labda awe babu ama bibi yake basi. hii imetokea na kuna mtu alitaka kumuua mdogo wake wa kiume baada ya kumlawiti mwanae hadi akaharibika uani kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…