VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Ulichochesahau ni kwamba virus wana kaa kwenye seli nyeupe za damu ambazo kazi yake ni ulinzi na ndio maana zinauwezo wakuwepo katika mazingira yoyote ambayo inaweza kuruhusu wadudu kuingia mwilini

Wanapendelea kukaa kwenye cell nyeupe
Ata nzi hupelea kutoa watoto wake(funza) pale anapoona watakuwa vizr
Ko nao wanareplicate kwenye cell za dam na kukaa mostly kwenye dam
Kwingine hawapendelei ni inatokea tu na huishi kwa kuservive
 
Una amini kama virusi wapo hafu huamini kama kuna virus wa HIV. Nimekutumia link, soma uone picha. Sijui unataka picha za virusi wanapiga selfie. Na watu kama wewe ndio huwa mmnajazana ujinga huko mtaani. Inawezekana hapo ulipo unazo ARV zako kwenye pochi. Maana denial huwa ni hatua ya awali kwa watu wengi
Kama umesoma comments za baadhi ya watu kuwa kuna mtu anaitwa Deception akija hapa itakuwa shughuli, I guess huyo anaezakuwa yeye kwenye ID tofauti.
Ila naona anakalishwa kiana.
 
Mkuu Papa Mobimba kuna mada niliwahianzisha hapa nikiuliza, "Kwanini mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya ukimwi?" Naomba uipitie na kutoa mchango ingawa kuna wadau walishatoa michango yao mizuri.
Pamoja na hilo sometimes huwa najiuliza hivi haiwezekani kuwa wenyeji wa huo mkoa wako genetically susceptible to HIV infections?
Maana inanifikirisha sana kuona HIV iligundulika na kuathiri sana Kagera halafu baadaye iruke mikoa mingine na kwenda kuweka kambi Njombe.
Kwamba wao ni wafanya ngono sana? Au wao ndiyo wanachubuana sana during sex?
Of course kutofanya tohara kunaweza kuwa kumechangia lakini bado nawaza.
Could it be genetically activated?
 
Papa Mobimba, Nashukuru kwa maelezo safi lakini nina swali juu ya namba 1 hapo juu:-
Je ni maambukizi yapi unayomaanisha?maana umeongea lugha ya kitaalamu nisiyoielewa na kama ni hospitali niombe aonane na daktari wa aina gani anaeweza kumsaidia?maana nimeshaongea na mtoa ushauri wake lakini hana msaada zaidi ya kumbadilishia dawa,pia niliongea na daktari wa kawaida nae akasema atakuwa sawa tu labda ni fangas ndio wanamsumbua na kwakuwa anatumia dawa atakaa sawa....lakini hali bado sio nzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Carla,
Kuna jamaa waliwahi kusema wamefanya indepth interview mkoa wa Njombe na kuja na kitu "nikifa kaka yangu ataoa mke wangu" sina hakika kama wameisha ipublish au vipi. Walikuwa wanaeleza hiyo hali ya maambukizi ya VVU kuwa juu mikoa hiyo. Nitafuatilia hilo andiko nitakuja nalo
 
Kuna maambukizi yanaitwa toxoplasma

Mpeleke hospitali yoyote ambayo wanafanya vipimo vya CT scan, aonane na physician au neurologist. Atapata msaada


Nashukuru kwa maelezo safi lakini nina swali juu ya namba 1 hapo juu:-
Je ni maambukizi yapi unayomaanisha?maana umeongea lugha ya kitaalamu nisiyoielewa na kama ni hospitali niombe aonane na daktari wa aina gani anaeweza kumsaidia?maana nimeshaongea na mtoa ushauri wake lakini hana msaada zaidi ya kumbadilishia dawa,pia niliongea na daktari wa kawaida nae akasema atakuwa sawa tu labda ni fangas ndio wanamsumbua na kwakuwa anatumia dawa atakaa sawa....lakini hali bado sio nzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daud1990, Kwa hiyo kwako, picha yoyote ikiwekwa ndiyo utaamini kuwa ni Dk wa kweli???. Kutokuonekana kwa macho tupu na ktk vifaa unavyodai ndiyo "justification" ya kwamba hakuna "existence ya HIV ???"

Kwa mtazamo wako unamaanisha hakuna VIRUSI wanaosababisha AIDS/UKIMWI ???. And if that is the case, tembea na wanawake hovyo hovyo ili uone kama VIRUSI wa AIDS/UKIMWI wapo au lah!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una amini kama virusi wapo hafu huamini kama kuna virus wa HIV. Nimekutumia link, soma uone picha. Sijui unataka picha za virusi wanapiga selfie. Na watu kama wewe ndio huwa mmnajazana ujinga huko mtaani. Inawezekana hapo ulipo unazo ARV zako kwenye pochi. Maana denial huwa ni hatua ya awali kwa watu wengi
Jamaa anashangaza sana huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Dalili hizi zina ashiria mambo mawili, moja madhara ya virusi kwenye nevu, lakini pili inawezekana akawa na maambukizi ya toxoplasma kwenye ubongo ndio infanya.

2.Virus vina athiri mfumo wa fahamu inawezekana kabisa hicho ndicho kilichotokea

3. Matatizo ya akili ni ya kawaida kwa waathirika. Huyo anaweza kuwa ana major depressive disorder with psychotic symptoms. Awaone Madaktari wa magonjwa ya akili watamuandikia dawa na aendelee kutumia ARV ata improve CD4 nilipanda

4. Septrin zinawasaidia wasipate aina fulani ya homa ya mapafu
Alafu anakuja mtu anasema Uzi huu una danganya umma. Emu kama mtu anaona haumfai sianyamaze tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom