BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 1,695
- 1,678
Naaam.
Mwaka 2007,Rio Ferdinand,Ronaldo na Henddrson enzi wakiwa Manchester united d waliulizwa swali hili kwa pamoja
Who is the greatest player of all time?.
Rio akajibu ni Maradona,Hendersona akazingua kujibu.Lakini Ronaldo akajibu "mimi".Ndio,akajibu "mimi".
Akiwa na miaka 22,mwaka 2007,katika rank ya Ballon d'Or alimaliza wa pili.Mwaka unaofuata akachukua mpira wake wa kwanza!Wakati naandika haya,ana Ballon d'Or 5.
Mwaka huu,VVD na Messi walikuwa ndio favourite wa kuchukua tuzo.VVD alinukuliwa mara nyingi akisema Messi anastahiki.Huu upuuuzi huuu!!!Kama mtu anaamini wewe ni mchezaj bora msimu huu,wakati wewe mwenyewe hujiamini,naanzaje kukupigia kura?
Huyu mchezaji na wachezaji wengine aina hii Ballon d'Or watazisikia kwenye bomba tuuu.
Mwaka 2007,Rio Ferdinand,Ronaldo na Henddrson enzi wakiwa Manchester united d waliulizwa swali hili kwa pamoja
Who is the greatest player of all time?.
Rio akajibu ni Maradona,Hendersona akazingua kujibu.Lakini Ronaldo akajibu "mimi".Ndio,akajibu "mimi".
Akiwa na miaka 22,mwaka 2007,katika rank ya Ballon d'Or alimaliza wa pili.Mwaka unaofuata akachukua mpira wake wa kwanza!Wakati naandika haya,ana Ballon d'Or 5.
Mwaka huu,VVD na Messi walikuwa ndio favourite wa kuchukua tuzo.VVD alinukuliwa mara nyingi akisema Messi anastahiki.Huu upuuuzi huuu!!!Kama mtu anaamini wewe ni mchezaj bora msimu huu,wakati wewe mwenyewe hujiamini,naanzaje kukupigia kura?
Huyu mchezaji na wachezaji wengine aina hii Ballon d'Or watazisikia kwenye bomba tuuu.