Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,416
- 18,856
Wakuu habari zenu?
Msimu wa wa 2017/2018 umekuwa msimu mzuri kwa mo salah tofauti na watu walivyodhani.
Ronaldo na Messi Sasa wamepata mpizani wa kweli kwenye tuzo za ballon d’or msimu huu na kuna dalili zote mo salah anakwenda kuchukua hiyo tuzo .
Msimu wa 2017/2018 ulianza mwezi august kwa ligi epl na la liga ulianza September .
Kwa epl mo salah amechukua mchezaji bora wa mwezi mara 3 ,akiweka record kwa mchezaji kuchukua mchezaji bora wa mwezi mara nyingi zaidi katika historia ya epl.
Kwa la liga angalia hapo chini mchezaji bora wa mwezi,la liga msimu wa 2017/2018 ilianza mwezi September tangia ianze hesabia hapo ronaldo na messi wamepata mara ngapi?
Kama ujawaona jiulize kwanini? Mchezaji bora wa mwezi wanajumuisha performance ya wachezaji wote wa ligi kwa walichokifanya.
UEFA Champions League msimu wa 2017/2018
Ronaldo kachukua mara 3 mchezaji bora wa wiki
Messi mara 1
Salah mara 3
Kuna watu watasema bado kwanza mpaka world cup tuone atafanya nini,
Niwakumbushe tu msimu wa 2009/2010 kulikuwa na FIFA World Cup nchini South Africa .
Messi alichukua ballon d’or ,Messi hakufunga hata goli moja mpaka wanatolewa World Cup .
Niwakumbushe msimu wa 2009/2010 Sneijder mchezaji wa inter Milan huo msimu ulikuwa na World Cup.
alichukua makombe yote ya ligi ya Italy na makombe mengine nje ya Italy ikiwapo klabu bingwa dunia na UEFA Champions League.
Wadau wa soka mtakuwa mnaikumbuka ile inter milan ya Mourinho.
World cup Sneijder aliisaidia uholanzi kufika fainali na alilingana magoli na mfungaji bora wa World Cup 2010(world cup wanaesabia na assists ulizokuwa nazo mkilingana magoli,mwenye assist nyingi ndio mfungaji bora)
messi mimi nimemtafuta kwenye list ya wachezaji waliofunga na hata waliojifunga World Cup 2010 nchini South Africa hayupo .
Hapo chini nimeweka record ya Sneijder .
Kura zinapigwa na makocha na macaptain wa timu za taifa
Anachaguliwa baada ya World Cup kuisha tu mwezi wa saba
Kuna dalili zote mo salah akachukua hiyo tuzo
Kwenye UEFA Champions League msimu huu wa 2017/2018 kwenye kugombea mchezaji bora wa week aliwagalagaza ronaldo na messi na kuibuka mchezaji bora wa week .
ikitokea ameingia kwenye nomininee lazima ashinde hiyo tuzo aijalishi yupo na nani.hii inaonesha jinsi gani anakubalika na watu wanaona uwezo wake.
Mchezaji ambaye aliobahatika kuingia kwenye tuzo ya ballon d’or na kuwashinda Ronaldo na Messi ni ricardo kaka pekee ilikuwa mwaka 2007.
Mimi binafsi sijaona sifa ya kupewa ballon d’or ronaldo Au messi msimu wa 2017/2018 yakumzidi mpinzani wao.
Kama unavigezo tililika hapo chini.
Najua Messi na ronaldo ni bora lakini hiyo ni history tunazungumzia msimu wa 2017/2018.sasa usituletee Messi na ronaldo wa miaka ya nyuma hiyo imebaki story.
Nawasilisha.
Msimu wa wa 2017/2018 umekuwa msimu mzuri kwa mo salah tofauti na watu walivyodhani.
Ronaldo na Messi Sasa wamepata mpizani wa kweli kwenye tuzo za ballon d’or msimu huu na kuna dalili zote mo salah anakwenda kuchukua hiyo tuzo .
Msimu wa 2017/2018 ulianza mwezi august kwa ligi epl na la liga ulianza September .
Kwa epl mo salah amechukua mchezaji bora wa mwezi mara 3 ,akiweka record kwa mchezaji kuchukua mchezaji bora wa mwezi mara nyingi zaidi katika historia ya epl.
Kwa la liga angalia hapo chini mchezaji bora wa mwezi,la liga msimu wa 2017/2018 ilianza mwezi September tangia ianze hesabia hapo ronaldo na messi wamepata mara ngapi?
Kama ujawaona jiulize kwanini? Mchezaji bora wa mwezi wanajumuisha performance ya wachezaji wote wa ligi kwa walichokifanya.
UEFA Champions League msimu wa 2017/2018
Ronaldo kachukua mara 3 mchezaji bora wa wiki
Messi mara 1
Salah mara 3
Kuna watu watasema bado kwanza mpaka world cup tuone atafanya nini,
Niwakumbushe tu msimu wa 2009/2010 kulikuwa na FIFA World Cup nchini South Africa .
Messi alichukua ballon d’or ,Messi hakufunga hata goli moja mpaka wanatolewa World Cup .
Niwakumbushe msimu wa 2009/2010 Sneijder mchezaji wa inter Milan huo msimu ulikuwa na World Cup.
alichukua makombe yote ya ligi ya Italy na makombe mengine nje ya Italy ikiwapo klabu bingwa dunia na UEFA Champions League.
Wadau wa soka mtakuwa mnaikumbuka ile inter milan ya Mourinho.
World cup Sneijder aliisaidia uholanzi kufika fainali na alilingana magoli na mfungaji bora wa World Cup 2010(world cup wanaesabia na assists ulizokuwa nazo mkilingana magoli,mwenye assist nyingi ndio mfungaji bora)
messi mimi nimemtafuta kwenye list ya wachezaji waliofunga na hata waliojifunga World Cup 2010 nchini South Africa hayupo .
Hapo chini nimeweka record ya Sneijder .
Kura zinapigwa na makocha na macaptain wa timu za taifa
Anachaguliwa baada ya World Cup kuisha tu mwezi wa saba
Kuna dalili zote mo salah akachukua hiyo tuzo
Kwenye UEFA Champions League msimu huu wa 2017/2018 kwenye kugombea mchezaji bora wa week aliwagalagaza ronaldo na messi na kuibuka mchezaji bora wa week .
ikitokea ameingia kwenye nomininee lazima ashinde hiyo tuzo aijalishi yupo na nani.hii inaonesha jinsi gani anakubalika na watu wanaona uwezo wake.
Mchezaji ambaye aliobahatika kuingia kwenye tuzo ya ballon d’or na kuwashinda Ronaldo na Messi ni ricardo kaka pekee ilikuwa mwaka 2007.
Mimi binafsi sijaona sifa ya kupewa ballon d’or ronaldo Au messi msimu wa 2017/2018 yakumzidi mpinzani wao.
Kama unavigezo tililika hapo chini.
Najua Messi na ronaldo ni bora lakini hiyo ni history tunazungumzia msimu wa 2017/2018.sasa usituletee Messi na ronaldo wa miaka ya nyuma hiyo imebaki story.
Nawasilisha.