Vurugu zatawala CHADEMA Tarime

Nidhamu kwani ni nini?

Nidhamu ni kutenda unalopaswa kutenda kwa wakati na kukiweka kila kitu mahali kinapostahili. Ukivalia suruali magotini ni kukosa nidhamu maana inastahili kuwa kiunoni n.k Kama alienda kwenye kikao ambacho yeye si mjumbe hata asingesema na kukaa juu ya meza ni kukosa nidhamu, na kuongea wakati mwingine anaongea ni utovu wa nidahamu n.k
 
Mungu saidia wasipigane, maana huko Tarime ni kichapo tu hakuna mjadala
 
Mleta hoja inawezekana una kitu cha msingi unachotaka kuwajulisha wanajukwaa.Ila kwa muktadha wa kile ulichokiandika tunashindwa kujua uhalisia wa hali ya mahusiano uliopelekea ''vurugu''.Maneno uliyotumia kama vile vurugu,malumbano,kuchachamaa,na kutoelewana hayaakisi kile ulicholenga kuwajulisha wanajukwaa!
 
mwita ni kirusi kwenye chama. hana anacho kijua ispokua ubabe na vurugu!
 
huu utaratibu wa chadema kutuma watu toka makao makuu kùvuruga mipango mikoani kwa maslahi ya viongozi wa makao makuu, yatawatokea puani na ccm itaendelea kupeta kwa madhaifu kama haya!
 
Kama kuna ukweli basi sharti Waitara akae chini atulizwe,kushindwana kwa hoja na kupanda juu ya meza havihusiani.Tubadilike makamanda...charity begins at home!
 
Ndivyo habari ilivyo hakuna anayepondwa.



:nono:Wewe kila thread ya kuponda CHADEMA lazima utachangia,lakini za kuiponda ccm hauchangii hiyo posho ya Lumumba ni kubwa sana inakuweka hapo mjini sio?:yo:
 
Huyu mwenye hii Id ya igwa alianza kuitumia tangu wakati wa uchaguzi wa Bavicha na yeye ametangaza nia ya kugombea tarime kwa hiyo mwenye akili atajuwa yeye ni nani
[/QUOTE]

Na wewe Kashinje Masanja tunakujua kuwa ni Nyakarungu....
 
Sometimes vurugu hutokea ila inategemea na mazingira zilipotokea hizo vurugu,kichama mbona hayo ni mambo ya kawaida sana chamaana basi nikufuata tarartibu na sheria zetu kuyamaliza mapema.
 
Eee muumba tuondolee huu mzoga unaotaka kuchafua amani ya nchi yetu sasa wameshaanza kutwangana wenyewe
 
CCM Tarime yapora eneo la maonyesho ya sabasaba.

Katka hali ya maskitko makubwa chama cha mapinduzi kinaendereza sera yake ya kupora mali za umma bila hata kushirikisha umma.Eneo ambalo lilitengwa na kujengwa mabanda ya maonyesho na serkali kwa ajili skukuu za sabasaba, hivi sasa ccm wamejitwalia eneo hilo kinyemera na kuanza kuuza kwa matajiri,eneo hilo ambalo liko tarime mjini nyuma ya kituo cha radio sachita fm,naomba mawazo yenu kwa maslahi ya wanatarime.
 
Kinacho takiwa hapo ni kwa Nyie kutoa Elimu ya Kutosha na M4C itakuja huko kuwasapoti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…