USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
KATIKA hali ya kuonesha dhamira ya wazi ya kutovumiliana leo majira ya saa 8 katika ofisi ya CHADEMA wilaya ya TARIME kumetokea malumbano kati ya viongozi wa wilaya waliokuwa na kikao cha kawaida cha kujadili maswala ya chama na upande wa ndugu MWITA WAITARA AFISA SERA NA UTAFITI CHADEMA MAKAO MAKUU
KIINI CHA MALUMBANO ILIKUWA
Ni ndugu WAITARA kuingia katika kikao huku kikiwa kinaendelea na kuhoji uhalali wa kikao hicho kutoongozwa na mwenyekiti aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo ambaye badae alisimamishwa kwa utovu wa nidhamu na kupeleka siri za chama nje ya vikao halali vya chama.
Akiwa anaongea kwa kufoka waitara amewambia viongozi wa wilaya kuwa ametumwa na katibu mkuu kuleta barua na kuhakikisha mwkt anarudi katika nafasi yake jambo ambalo halikukubalika na viongozi baada ya viongozi kuonekana kujenga hoja zao bwana waitara mwita aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo mwaka 2010 aliamua kukaa kwenye meza juu huku akiwa anapiga kelele jambo ambalo lilionekana kuungwa mkono na katibu wa vijana wilaya ndugu hussein abeid na ndugu lucas ngotyo kaimu mwenyekiti wa wilaya aliyedaiwa kusimamishwa na uongozi wa wilaya.
Baadae ikatokea mtafaruku baada ya baadhi ya vijana kuchachamaa wakimtaka ndugu waitara kueleza ni namna gani amekuja kwnye kikao cha kamati tenndaji na wao huku si wajumbe na pia akiwa amelewa?na ni kwa nin i anaamuru watu wake kukaa juu ya meza na kuendelea kutukana viongozi na yeye kama kiongozi wa kitaifa kwa nini astumikekupunguza mgogoro badala yake anauongeza?
Mpaka tunaenda mitamboni inasemekana ndugu waitara atakuwa na kikao kingine tena kesho baada ya kusambaratisha hichi cha awali cha viongozi wa wilaya na chake kushindwa kukaa.
Taarifa za uhakika zinasema mpaka usiku saa 4 alikuwa kwenye hotel ya nyam,ete akiwa na vijana wapatao 10 wanaosaidiana kuendesha uasi kwa majadiliano yanmayolenga kuandaa kikao kingine kesho saa 5 kwenye ukumbi wa JJ CLUB na inasemekana kabla ya hapo alikuwa eneo la PROMISE BAA akiwa na kikao kingine pia majira ya saa 1 kamili mpaka saa 2 source ni vijana watiifu walionipigia simu na kushikiana kutoa taarifa hizi.
Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita vijana hawa wanaoambatana na bwana waitara walifunga ofisi kwa mbao na kuweka sealid kitendo kilicholaaniwa sana na wananchi mbalimbali na wanachama na wadau wa CHADEMA.
KIINI CHA MALUMBANO ILIKUWA
Ni ndugu WAITARA kuingia katika kikao huku kikiwa kinaendelea na kuhoji uhalali wa kikao hicho kutoongozwa na mwenyekiti aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo ambaye badae alisimamishwa kwa utovu wa nidhamu na kupeleka siri za chama nje ya vikao halali vya chama.
Akiwa anaongea kwa kufoka waitara amewambia viongozi wa wilaya kuwa ametumwa na katibu mkuu kuleta barua na kuhakikisha mwkt anarudi katika nafasi yake jambo ambalo halikukubalika na viongozi baada ya viongozi kuonekana kujenga hoja zao bwana waitara mwita aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo mwaka 2010 aliamua kukaa kwenye meza juu huku akiwa anapiga kelele jambo ambalo lilionekana kuungwa mkono na katibu wa vijana wilaya ndugu hussein abeid na ndugu lucas ngotyo kaimu mwenyekiti wa wilaya aliyedaiwa kusimamishwa na uongozi wa wilaya.
Baadae ikatokea mtafaruku baada ya baadhi ya vijana kuchachamaa wakimtaka ndugu waitara kueleza ni namna gani amekuja kwnye kikao cha kamati tenndaji na wao huku si wajumbe na pia akiwa amelewa?na ni kwa nin i anaamuru watu wake kukaa juu ya meza na kuendelea kutukana viongozi na yeye kama kiongozi wa kitaifa kwa nini astumikekupunguza mgogoro badala yake anauongeza?
Mpaka tunaenda mitamboni inasemekana ndugu waitara atakuwa na kikao kingine tena kesho baada ya kusambaratisha hichi cha awali cha viongozi wa wilaya na chake kushindwa kukaa.
Taarifa za uhakika zinasema mpaka usiku saa 4 alikuwa kwenye hotel ya nyam,ete akiwa na vijana wapatao 10 wanaosaidiana kuendesha uasi kwa majadiliano yanmayolenga kuandaa kikao kingine kesho saa 5 kwenye ukumbi wa JJ CLUB na inasemekana kabla ya hapo alikuwa eneo la PROMISE BAA akiwa na kikao kingine pia majira ya saa 1 kamili mpaka saa 2 source ni vijana watiifu walionipigia simu na kushikiana kutoa taarifa hizi.
Ikumbukwe kuwa siku chache zilizopita vijana hawa wanaoambatana na bwana waitara walifunga ofisi kwa mbao na kuweka sealid kitendo kilicholaaniwa sana na wananchi mbalimbali na wanachama na wadau wa CHADEMA.