Tatizo ni hilo tuu? hivi serikali ni nini? sisi wananchi hatuna role yoyote? mimi naona watanzania tunapenda kuiga mno! Mwalimu aliwahi kutoa mfano wa mtu mwenye almasi anavyoweza kudanganywa na tapeli mwenye kipande cha chupa wakabadilishana kiulaini!! sisi watanzania tulikuwa na almasi yetu iitwayo "Amani", wamekuja wapuuzi wametwambia ni feki, tumekubali sasa imetoweka, tuanaaanza kutafuta sababu oh, ajira, ooooh serikali dhaifu, oooooh blah, blahhhh, tutazitoa sana but, the beautiful peaceful TZ we had is no longer!! issue ya Zanzibar tayari ipo Aljazeera, ngoja tuone hiyo kesho Dar!
kwamba tatizo ni kazi si sababu pekee maana hakuna nchi duniani iliyofanikiwa kutoa kazi kwa kila mtu ata USA si wote waliosoma wana kazi! I am out!