masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,857
- 13,140
Kufuatia wananchi wa Arumeru kuhamasika na ahadi walizopewa na viongozi wao, na wananchi kuamua kujichukulia hatua mikononi mwao kama wanavyoona inafaa, na wawekezaji kutishia kujiondoa,
Swali: Lini CHADEMA itatoa msimamo wake juu ya mgogoro huu, ukitilia maanani kuwa sasa mbunge wa Arumeru nia wa chama hiki?
Swali: Lini CHADEMA itatoa msimamo wake juu ya mgogoro huu, ukitilia maanani kuwa sasa mbunge wa Arumeru nia wa chama hiki?