Mpwechekule
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 221
- 55
Kutokana na ujambazi na uuwaji wa madereva wa bodaboda unaotokea mara kwa mara hapa korogwe, madereva hao wameamua kusaka mtandao wa majambazi na kuua mmoja nakuendelea na kusaka wengine ambao pia wanawafahamu lakini polisi wamewazuia na ndipo mabom na risasi zikarindima mbaya sina hakika na majeruhi kwani raia nao wamebeba silaha za jadi, nimelazimika kukimbilia nje kidogo ya mji, kwamkole kukwepa adha hiyo