OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,239
- 103,913
Akili za kushikiwa hizo pumbafu zako!!! bungeni ni sehemu ya kutukanana sasa,,,,,,
Badae wenje atakuja aseme mashoga ni nyie cdm sijui kama utakubali na hilo naloo....
sio kila kitu chama chako inachokifanya unashabikia tuu, mengine uyapime ndugu yanguuu....
CUF wanasema wao hawajabisha kuhusu kuhusishwa na ushoga, ila wanamuomba Wenje ''awatunzie heshima kidogo waliyobaki nayo''......ngoma imegoma, CCM wameshindwa kumtetea mke, hakuna kugonga mzigo leo night
Ukikaribia waridi unanukia waridi.....sasa jiulize CUF wananukia nini kama sio jicho