Bouncer
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 344
- 247
Heshima mbele wanajamvi.
Kwenye Mauaji ya kimbari ya Rwanda magwiji wa sheria wa International Community walibishana sana kuhusu kinachoendelea huko kama ni Genocide au Acts of Genocide! na ulinzi haukupelekwa coz ilionekana ni "just" Acts of Genocide; matokeo yake wote tunayajua...
Zanzibar tumesikia maafande wawili tayari washauawa, makanisa yamechomwa na wakristu wameanza kukimbia from zenj. Hapa dar au Tz bara its almost the same story, mpaka JWTZ wameingilia.
Najiuliza kwa kinachoendelea Dar na Zenj na hasahasa Zenj ni Terrorism au ni "just" Acts of Terror? na ifike wapi ndo ijulikane kuwa sasa zenj kuna Terrorism?
Kuna issue ya Waislam wenye siasa kali (Muslim Radicals) ambao huwa ni hatari hata kwa moderate muslims; wao mara nyingi wanacreate mazingira ya kuogopwa na kila mtu (Islamphobia) kwani hawaogopi kufa. Uamusho wanafall kwenye kundi hili na tayari washawazidi kete SMZ. Tiba yao ni ipi once and for all?Tuishi kwa amani..
Tumeona Serikali za Uingereza na Marekani zikitoa maelekezo maalum kwa raia wao waliopo hapa nchini ku-take more precausion kwani mazingira yetu sio salama tena. Najiuliza wananchi hatuna amani, wageni hawana amani, wanaofanya haya mambo wengi wao wamekimbia majumbani mwao kuogopa kukamatwa! e.g Ponda alihamia msikitini, kwa maana hiyo hata yeye hana amani! Hivi hiki ni nini?
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
THE PREVENTION OF TERRORISM ACT, 2002
PART II
PROHIBITIONFOR ACTS OF TERRORISM
4(1)No person in the United Republic and no citizen of Tanzania outside the United
Republicshall commit terrorist act and a person who does an act constituting terrorism,
commitsan offence, unincorporated association or organisation;
(2) Aperson commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act oromission
which;
(a)may seriously damage a country or an international organization; or
(b) isintended or can reasonably be regarded as having been intended to;
(i)seriously intimidate a population;
(ii)unduly compel a Government or perform or abstain from performing any act;
(iii)seriously destabilise or destroy the fundamental political, constitutional,economic or
socialstructures of
countryor an international organization; or
(iv)otherwise influence such Government, or international organization; or
(c)involves or causes, as the case may be
(i)attacks upon a person's life which may cause death;7
(ii)attacks upon the physical integrity of a person;
(iii)kidnapping of a person,
(3) Anact shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is anact or
threatof action which;
(a)involves serious bodily harm to a person;
(b)involves serious damage to property;
(c)endangers a person's life;
(d)creates a serious risk to the health or safety of the public or a section ofthe public;
(e)involves the use of firearms or explosives;
(f)involves releasing into the environment or any part of it or distributing orexposing the
publicor any part of it to;
(i)any dangerous, hazardous, radioactive or harmful substance;
(ii)any toxic chemical;
(iii)any microbial or other biological agent or toxin;
(g) isdesigned or intended to disrupt any computer system or the provision ofservices
directlyrelated to communications infrastructure, banking or financial services,utilities,
transportationor other essential infrastructure;
(h) isdesigned or intended to disrupt the provision of essential emergency servicessuch
aspolice, civil defence or medical services;
(i)involves prejudice to national security or public safety, and is intended, orby its
natureand context, may reasonably be regarded as being intended to;
(i)intimidate the public or a section of the public;
(ii)compel the Government or an international organization to do, or refrain fromdoing,
anyact, and is made for the purpose of advancing or supporting act whichconstitutes
terrorismwithin the meaning of this Act.
(4) Anact which;
(a)disrupts any services;8
(b) iscommitted in pursuance of a protest, demonstration or stoppage of work, shallbe
deemednot to be a terrorist act within the meaning of this section, so long and solong
onlyas the act is not intended to result in any harm referred to in paragraphs,(a), (b), (c),
or (d)of subsection (3).
Yanayoendelea nchini hamna kifungu hapo juu kinachowatia hatiani?
View attachment 68840
Kwenye Mauaji ya kimbari ya Rwanda magwiji wa sheria wa International Community walibishana sana kuhusu kinachoendelea huko kama ni Genocide au Acts of Genocide! na ulinzi haukupelekwa coz ilionekana ni "just" Acts of Genocide; matokeo yake wote tunayajua...
Zanzibar tumesikia maafande wawili tayari washauawa, makanisa yamechomwa na wakristu wameanza kukimbia from zenj. Hapa dar au Tz bara its almost the same story, mpaka JWTZ wameingilia.
Najiuliza kwa kinachoendelea Dar na Zenj na hasahasa Zenj ni Terrorism au ni "just" Acts of Terror? na ifike wapi ndo ijulikane kuwa sasa zenj kuna Terrorism?
Kuna issue ya Waislam wenye siasa kali (Muslim Radicals) ambao huwa ni hatari hata kwa moderate muslims; wao mara nyingi wanacreate mazingira ya kuogopwa na kila mtu (Islamphobia) kwani hawaogopi kufa. Uamusho wanafall kwenye kundi hili na tayari washawazidi kete SMZ. Tiba yao ni ipi once and for all?Tuishi kwa amani..
Tumeona Serikali za Uingereza na Marekani zikitoa maelekezo maalum kwa raia wao waliopo hapa nchini ku-take more precausion kwani mazingira yetu sio salama tena. Najiuliza wananchi hatuna amani, wageni hawana amani, wanaofanya haya mambo wengi wao wamekimbia majumbani mwao kuogopa kukamatwa! e.g Ponda alihamia msikitini, kwa maana hiyo hata yeye hana amani! Hivi hiki ni nini?
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
THE PREVENTION OF TERRORISM ACT, 2002
PART II
PROHIBITIONFOR ACTS OF TERRORISM
4(1)No person in the United Republic and no citizen of Tanzania outside the United
Republicshall commit terrorist act and a person who does an act constituting terrorism,
commitsan offence, unincorporated association or organisation;
(2) Aperson commits terrorist act if, with terrorist intention, does an act oromission
which;
(a)may seriously damage a country or an international organization; or
(b) isintended or can reasonably be regarded as having been intended to;
(i)seriously intimidate a population;
(ii)unduly compel a Government or perform or abstain from performing any act;
(iii)seriously destabilise or destroy the fundamental political, constitutional,economic or
socialstructures of
countryor an international organization; or
(iv)otherwise influence such Government, or international organization; or
(c)involves or causes, as the case may be
(i)attacks upon a person's life which may cause death;7
(ii)attacks upon the physical integrity of a person;
(iii)kidnapping of a person,
(3) Anact shall also constitute terrorism within the scope of this Act if it is anact or
threatof action which;
(a)involves serious bodily harm to a person;
(b)involves serious damage to property;
(c)endangers a person's life;
(d)creates a serious risk to the health or safety of the public or a section ofthe public;
(e)involves the use of firearms or explosives;
(f)involves releasing into the environment or any part of it or distributing orexposing the
publicor any part of it to;
(i)any dangerous, hazardous, radioactive or harmful substance;
(ii)any toxic chemical;
(iii)any microbial or other biological agent or toxin;
(g) isdesigned or intended to disrupt any computer system or the provision ofservices
directlyrelated to communications infrastructure, banking or financial services,utilities,
transportationor other essential infrastructure;
(h) isdesigned or intended to disrupt the provision of essential emergency servicessuch
aspolice, civil defence or medical services;
(i)involves prejudice to national security or public safety, and is intended, orby its
natureand context, may reasonably be regarded as being intended to;
(i)intimidate the public or a section of the public;
(ii)compel the Government or an international organization to do, or refrain fromdoing,
anyact, and is made for the purpose of advancing or supporting act whichconstitutes
terrorismwithin the meaning of this Act.
(4) Anact which;
(a)disrupts any services;8
(b) iscommitted in pursuance of a protest, demonstration or stoppage of work, shallbe
deemednot to be a terrorist act within the meaning of this section, so long and solong
onlyas the act is not intended to result in any harm referred to in paragraphs,(a), (b), (c),
or (d)of subsection (3).
Yanayoendelea nchini hamna kifungu hapo juu kinachowatia hatiani?
View attachment 68840