Mwizi acha atoe mpya mahakamani baada yakusomewa mashtaka yake yanayomkabili kuhusu wizi wa "SIMU" basi akapewa nafac ya kujitetea na mambo yakawa hivi;
MTUHUMIWA; mm nilikua napita zangu sina hili wala lile nikasikia sauti ikitoka kwenye SIMU ikiniita kwa upole ikitaka nionyeshe hisia zangu huku ikiniambia "NIBEBE NIBEBE UNICHUKUE UNIBEBE MIKONONI MWAKO NIWE SALAMA" sasa mimi nikaona kama simu yenyewe inaniambia niibebe halafu istoshe inaniambia mikononi mwangu itakua salama(halali) n, nikaona nisipoichukua nitakua sijatenda wema.
HAKIMU; akabaki anaangua kicheko.
Je ungemuhukumu vp huyu jamaa? 2meni maoni yenu wanajf.
MTUHUMIWA; mm nilikua napita zangu sina hili wala lile nikasikia sauti ikitoka kwenye SIMU ikiniita kwa upole ikitaka nionyeshe hisia zangu huku ikiniambia "NIBEBE NIBEBE UNICHUKUE UNIBEBE MIKONONI MWAKO NIWE SALAMA" sasa mimi nikaona kama simu yenyewe inaniambia niibebe halafu istoshe inaniambia mikononi mwangu itakua salama(halali) n, nikaona nisipoichukua nitakua sijatenda wema.
HAKIMU; akabaki anaangua kicheko.
Je ungemuhukumu vp huyu jamaa? 2meni maoni yenu wanajf.