maana ya vunja jungu ni nini wajameni?
Maanake ni kutenda dhambi kwa mara ya mwisho kama kumegwa ndo unamegwa mara ya mwisho then unaingia mwezi mtukufu. Kama mlevi unalewa sana then unaziaga kwa kipindi cha ramadhani.
Hahahaha hii tasfiri ni kwenye Biblia, Quran ama Katiba? Naomba mwongozo Mh spika[/QUOTE]
jamani..haaa leo nackia raha sana humu.
Hahahaha hii tasfiri ni kwenye Biblia, Quran ama Katiba? Naomba mwongozo Mh spika
Hahahaha hii tasfiri ni kwenye Biblia, Quran ama Katiba? Naomba mwongozo Mh spika[/QUOTE]
jamani..haaa leo nackia raha sana humu.
Mhh,
Mi yangu macho! Mwanzo nilifikiri hilo neno umeandika "hamu". Samahani mdau, ni illusions za jioni ya leo, bashasha za kutaka kuwahi kufanya kweli (kutenda uozo) kabla ya kuanza kutubu! Sijui toba yenyewe itaenda kweli wakati hang over bado inasumbua!!
Mhh,
Mi yangu macho! Mwanzo nilifikiri hilo neno umeandika "hamu". Samahani mdau, ni illusions za jioni ya leo, bashasha za kutaka kuwahi kufanya kweli (kutenda uozo) kabla ya kuanza kutubu! Sijui toba yenyewe itaenda kweli wakati hang over bado inasumbua!!
Naambiwa anamulume wake huyo...hamu inabidi wewe usiijue
Vunja Jungu mpwa haipo kwenye Msaafu ndo maana inakataliwa watu wanatenda dhambi.
Naam ni dhambi tupu! Maana hili la kuvunja jungu na matendo mengine baada ya Mwezi wa Toba ni kama vile waumini wameruhusiwa kufanya dhambi katika miezi 11 katika mwaka halafu mwezi mmoja ndiyo wanafanya mambo ya toba, kumbe si hivyo hata kidogo. Sasa mtu unaenda kuutwika mtungi siku chache kabla ya Mfungo, si ajabu hata Mfungo unapoanza bado una ile perfume ya maji ya dhahabu halafu unasema umefunga!! Hmmm!
Naam ni dhambi tupu!