Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

Unapakaje mkuu?? Unachanganya na maji au hivo hvo unga unga ukiwa mkavu na vumbi lake??

Goite
Unalowesha maji kidogo kichwa cha uume, kisha unaipaka dawa. Hakikisha dawa imelowana.
Kama haijalowa, unaongeza matone ya maji kidogo kulowanisha dawa iliyopo kwenye kichwa cha uume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unalowesha maji kidogo kichwa cha uume, kisha unaipaka dawa. Hakikisha dawa imelowana.
Kama haijalowa, unaongeza matone ya maji kidogo kulowanisha dawa iliyopo kwenye kichwa cha uume

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu baadae napukuta itoke au napiga pumbu ikiwepo bado kwenye dushe?

Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
 
Ufanunuzi,,viagra ,electo ,cupid,enjo
hivi ni vidonge vya kumeza

Vumbi la congo ni dawa ya kupaka kwenye ndonga
Sasa tunaitaji ufafanuzi kuna mausiano gani na kushuka kwa presha ya damu na dawa ya kupaka kwenye machine ebu mtoa mada tupe ufafanuzi ...
Kuna wakati kwa shughuli zang nilikua napita famasi za bugurun nyng zinauza haya madawa inaelekea matumiz ni makubwa. sijui hali ya taifa la itakuwaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom