Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

Wadada wengi siku hizi ni ngumu kupata ujauzito sababu wanaume wao wengi wanatumia vumbi la congo feki ambalo limechanganywa na hiyo dawa....Ushauri kama wanataka ujauzito ni kheri kabla hawajafanya amwambie m/me wake waende wakaoge kisha amuoshe RUNGU.
Sasa dada kupaka mboo hiyo na dawa na mimba wapi na wapi...kwani akipaka Vumbi hakumwagii shahawa hadi usipate mimba dada angu?

Nieleweshe
 
Kweli mkuu. Sikujua kama ni ya kupaka japo kuna dawa za kutibu uhanithi kama hiyo alprostadil hapo juu hutumika kwa kupaka. Kingine watu wanasema inasaidia uume kusimama na wengine wanasema inasaidia tu kuchelewa kufika kileleni. Kipi ni kipi?
Mkuu vumbi la congo has anaesthetic property...like lidocane or lignocane
 
Ufanunuzi,,viagra ,electo ,cupid,enjo
hivi ni vidonge vya kumeza

Vumbi la congo ni dawa ya kupaka kwenye ndonga
Sasa tunaitaji ufafanuzi kuna mausiano gani na kushuka kwa presha ya damu na dawa ya kupaka kwenye machine ebu mtoa mada tupe ufafanuzi ...

inaonekana hata hajawahi kuiona hio mkongo
 
Nalipataje?
Mtoa mada ngoja nikupe ka elimu kadogo.
Vumbi la Congo aka Kasongo aka Butururu ni unga unaopatikana baada ya mizizi au magome ya mti kusagwa na si vumbi kama la stoo au barabarani.
Vumbi hili hapo awali lilikuwa linatumika kwa watu waliokuwa wanataka kufanyiwa tohara. Watu hao walikuwa wanapakwa vumbi hili kwa ajili ya kufanya mkuyenge uwe na ganzi kwa hiyo akikatwa govi asihisi maumivu makali.
Kwa kuwa vumbi hilo huufanya mkuyenge kufa ganzi matumizi yake yakawa mapana zaidi ndo maana watu hupaka vumbi hilo likiwa limechanganywa na maji kama matone matatu hivi. Mkuyenge ukiwa na ganzi ni vigumu sana kwa mwanaume kuweza kutema wazungu kwa urahisi so unaweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu sana.
 
Watu bhana!!!...
Vumbi la Congo aka Putuluu wenyewe wanaita ni Unga wa dawa za mitishamba.. Unapaka ktk kichwa cha uume Kisha unafunga nailon ktk hiko Kichwa cha uume almost 12 hrs Kisha unaenda kuosha uume wako ..unasubiri huyo mdada aje ndo uanze kazi... Ila Kama hatokuja wala uume hautosimama ila tu kosa ni pale utakaposimana na kuingiza ukeni.. Hapo ni 3 hrs na zaidi...
 
Mtoa mada ngoja nikupe ka elimu kadogo.
Vumbi la Congo aka Kasongo aka Butururu ni unga unaopatikana baada ya mizizi au magome ya mti kusagwa na si vumbi kama la stoo au barabarani.
Vumbi hili hapo awali lilikuwa linatumika kwa watu waliokuwa wanataka kufanyiwa tohara. Watu hao walikuwa wanapakwa vumbi hili kwa ajili ya kufanya mkuyenge uwe na ganzi kwa hiyo akikatwa govi asihisi maumivu makali.
Kwa kuwa vumbi hilo huufanya mkuyenge kufa ganzi matumizi yake yakawa mapana zaidi ndo maana watu hupaka vumbi hilo likiwa limechanganywa na maji kama matone matatu hivi. Mkuyenge ukiwa na ganzi ni vigumu sana kwa mwanaume kuweza kutema wazungu kwa urahisi so unaweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu sana.
Ni hatareee...
 
Ntalipata wapi..ni Pm tufanye biashara
Watu bhana!!!...
Vumbi la Congo aka Putuluu wenyewe wanaita ni Unga wa dawa za mitishamba.. Unapaka ktk kichwa cha uume Kisha unafunga nailon ktk hiko Kichwa cha uume almost 12 hrs Kisha unaenda kuosha uume wako ..unasubiri huyo mdada aje ndo uanze kazi... Ila Kama hatokuja wala uume hautosimama ila tu kosa ni pale utakaposimana na kuingiza ukeni.. Hapo ni 3 hrs na zaidi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vumbi la congo a.k.a 'putulu' ni tamu mmno kama unajua kulitumia, nimpakia mama mwenye nyumba wangu (landlords) ni wiki ya tatu kila anapo niona lazima anikimbiee……...mmmmhhmm nisha tia adabu
 
Sasa ni mwendo wa kyai ka maziwa na viungo vyake almaarufu "Alkasusu"
 
Watu bhana!!!...
Vumbi la Congo aka Putuluu wenyewe wanaita ni Unga wa dawa za mitishamba.. Unapaka ktk kichwa cha uume Kisha unafunga nailon ktk hiko Kichwa cha uume almost 12 hrs Kisha unaenda kuosha uume wako ..unasubiri huyo mdada aje ndo uanze kazi... Ila Kama hatokuja wala uume hautosimama ila tu kosa ni pale utakaposimana na kuingiza ukeni.. Hapo ni 3 hrs na zaidi...
Brother utasababisha watu wapate gangrene kwenye mboo, vumbi la Kongo ukipaka ndani ya dakika tano hadi kumi utaanza kusikia ganzi. Ukianza kusikia ganzi nawa mara moja kuondoa dawa.
Ukishaiondoa dawa ganzi itaendelea kuongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother utasababisha watu wapate gangrene kwenye mboo, vumbi la Kongo ukipaka ndani ya dakika tano hadi kumi utaanza kusikia ganzi. Ukianza kusikia ganzi nawa mara moja kuondoa dawa.
Ukishaiondoa dawa ganzi itaendelea kuongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
Unapakaje mkuu?? Unachanganya na maji au hivo hvo unga unga ukiwa mkavu na vumbi lake??

Goite
 
Ufanunuzi,,viagra ,electo ,cupid,enjo
hivi ni vidonge vya kumeza

Vumbi la congo ni dawa ya kupaka kwenye ndonga
Sasa tunaitaji ufafanuzi kuna mausiano gani na kushuka kwa presha ya damu na dawa ya kupaka kwenye machine ebu mtoa mada tupe ufafanuzi ...
Dadeq bila shaka wewe umeshatumia vyote, umrjuaje yote haya
 
Back
Top Bottom