Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

Vumbi la Congo na hatari ninayoiona

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,993
wakuu nimekuwa nasikia sana kuhusu kuwepo kwa dawa ya kuongeza nguvu za kiume iitwayo vumbi la Congo. Wanadai ni dawa ya asili kutoka Congo.
Kwa uelewa wangu wengi hawa wanaodai dawa ni asili huwa ni matapeli ambao hutumia dawa za kisasa na kuzibrand za asili wakitumia imani ya watu kwa dawa za asili kutapeli.

Wanatumia dawa za kuongeza nguvu kama Cialis au viagra(sildenafil) na kuchanganya na unga wa miti na kusema ni dawa asili. Hata wamasai wauza dawa nasikia walikuwa na mchezo huo.
Hatari za hizi dawa ni kama ifuatavyo.
Hizi dawa ufanyaji wake kazi husababisha presha ya damu kushuka. Kwa watu wanaotumia dawa za presha au wanaotumia dozi kubwa wanaweza kufa kwa presha kushuka kupita kiasi.

Kitu kingine ni kitu inaitwa priapism. Hii niuume kusimama hata zaidi ya masaa sita bila kulala. Mtu akipatwa na hali hii na asipopatiwa masaada wa haraka kuna 50 chances za kuwa hanithi. Sijajua kwanini mamlaka husika hazijazungumza kuhusu hili swala ambalo ni hatari kwa afya ya umma na limaweza kuwa la kitapeli pia.
 
Wizara ya Afya iko wapi juu ya hili....?
 
Cialis na viagra sidhani kama vinapatikana hapa tanzania
 
Kwani ingredient za hilo vumbi ni nini? na ni kweli linapataikana kongo tuu, vi vumbi (udongo) kweli ama ni madude yamechanganywa?
 
Ufanunuzi,,viagra ,electo ,cupid,enjo
hivi ni vidonge vya kumeza

Vumbi la congo ni dawa ya kupaka kwenye ndonga
Sasa tunaitaji ufafanuzi kuna mausiano gani na kushuka kwa presha ya damu na dawa ya kupaka kwenye machine ebu mtoa mada tupe ufafanuzi ...
 
Ufanunuzi,,viagra ,electo ,cupid,enjo
hivi ni vidonge vya kumeza

Vumbi la congo ni dawa ya kupaka kwenye ndonga
Sasa tunaitaji ufafanuzi kuna mausiano gani na kushuka kwa presha ya damu na dawa ya kupaka kwenye machine ebu mtoa mada tupe ufafanuzi ...

Akikujibu hili naomba unitag please
 
Sipati picha nguvu nilizonazo nikiongeza na mkuyati itahuaje
 
wakuu nimekuwa nasikia sana kuhusu kuwepo kwa dawa ya kuongeza nguvu za kiume iitwayo vumbi la Congo. Wanadai ni dawa ya asili kutoka Congo.
Kwa uelewa wangu wengi hawa wanaodai dawa ni asili huwa ni matapeli ambao hutumia dawa za kisasa na kuzibrand za asili wakitumia imani ya watu kwa dawa za asili kutapeli.

Wanatumia dawa za kuongeza nguvu kama Cialis au viagra(sildenafil) na kuchanganya na unga wa miti na kusema ni dawa asili. Hata wamasai wauza dawa nasikia walikuwa na mchezo huo.
Hatari za hizi dawa ni kama ifuatavyo.
Hizi dawa ufanyaji wake kazi husababisha presha ya damu kushuka. Kwa watu wanaotumia dawa za presha au wanaotumia dozi kubwa wanaweza kufa kwa presha kushuka kupita kiasi.

Kitu kingine ni kitu inaitwa priapism. Hii niuume kusimama hata zaidi ya masaa sita bila kulala. Mtu akipatwa na hali hii na asipopatiwa masaada wa haraka kuna 50 chances za kuwa hanithi. Sijajua kwanini mamlaka husika hazijazungumza kuhusu hili swala ambalo ni hatari kwa afya ya umma na limaweza kuwa la kitapeli pia.
Ni hatari sana hizo dawa za kumeza aka KIBOKO YA PAULINA.
 
Ufanunuzi,,viagra ,electo ,cupid,enjo
hivi ni vidonge vya kumeza

Vumbi la congo ni dawa ya kupaka kwenye ndonga
Sasa tunaitaji ufafanuzi kuna mausiano gani na kushuka kwa presha ya damu na dawa ya kupaka kwenye machine ebu mtoa mada tupe ufafanuzi ...
Kuna dawa nyingi za kutibu Erectile dysfunction na nyingine siyo za kumeza. Mojawapo ni kama Alprostadili ambayo unaweza kuchoma kama sindano kwenye uume au ukapaka kwenye kichwa cha uume. Zote hizi hufanya kazi kwa kutanua mishipa ya damu(vasolidators) na hivyo hushusha pressure japp madhara ya hizi za kupaka kwenye kushusha pressure siyo kama za kumeza. Ila hii alprostadil ya kupaka ni hatari sana kwa wajawazito au wanaopanga kupata ujauzito. Ukipaka na kupiga kavukavu inaweza dhuru ukuaji wa mtoto au kuzaa kabla ya wakati.
 
hii alprostadil ya kupaka ni hatari sana kwa wajawazito au wanaopanga kupata ujauzito
Wadada wengi siku hizi ni ngumu kupata ujauzito sababu wanaume wao wengi wanatumia vumbi la congo feki ambalo limechanganywa na hiyo dawa....Ushauri kama wanataka ujauzito ni kheri kabla hawajafanya amwambie m/me wake waende wakaoge kisha amuoshe RUNGU.
 
Hello Red Giant,

Umeingia bonge la chaka.. Vungi la kongo mtu anapaka kwenye mbolo, hizo zingine ni za kumeza.. sasa hakuna muingiliano hapo.

ok.

wakuu nimekuwa nasikia sana kuhusu kuwepo kwa dawa ya kuongeza nguvu za kiume iitwayo vumbi la Congo. Wanadai ni dawa ya asili kutoka Congo.
Kwa uelewa wangu wengi hawa wanaodai dawa ni asili huwa ni matapeli ambao hutumia dawa za kisasa na kuzibrand za asili wakitumia imani ya watu kwa dawa za asili kutapeli.

Wanatumia dawa za kuongeza nguvu kama Cialis au viagra(sildenafil) na kuchanganya na unga wa miti na kusema ni dawa asili. Hata wamasai wauza dawa nasikia walikuwa na mchezo huo.
Hatari za hizi dawa ni kama ifuatavyo.
Hizi dawa ufanyaji wake kazi husababisha presha ya damu kushuka. Kwa watu wanaotumia dawa za presha au wanaotumia dozi kubwa wanaweza kufa kwa presha kushuka kupita kiasi.

Kitu kingine ni kitu inaitwa priapism. Hii niuume kusimama hata zaidi ya masaa sita bila kulala. Mtu akipatwa na hali hii na asipopatiwa masaada wa haraka kuna 50 chances za kuwa hanithi. Sijajua kwanini mamlaka husika hazijazungumza kuhusu hili swala ambalo ni hatari kwa afya ya umma na limaweza kuwa la kitapeli pia.
umeongia
 
Hello Red Giant,

Umeingia bonge la chaka.. Vungi la kongo mtu anapaka kwenye mbolo, hizo zingine ni za kumeza.. sasa hakuna muingiliano hapo.

ok.


umeongia
Kweli mkuu. Sikujua kama ni ya kupaka japo kuna dawa za kutibu uhanithi kama hiyo alprostadil hapo juu hutumika kwa kupaka. Kingine watu wanasema inasaidia uume kusimama na wengine wanasema inasaidia tu kuchelewa kufika kileleni. Kipi ni kipi?
 
Red Giant Vumbi la Kongo ni kweli inatoka Kongo wasafirishaji wakubwa wakiwa hawa medereva wa Malori lakini kuna nyingine inatoka Kigoma nayo inakuwa branded Kongo!..
Madhara yake ni mengi zaidi ya faida!.
 
Mtoa mada ngoja nikupe ka elimu kadogo.
Vumbi la Congo aka Kasongo aka Butururu ni unga unaopatikana baada ya mizizi au magome ya mti kusagwa na si vumbi kama la stoo au barabarani.
Vumbi hili hapo awali lilikuwa linatumika kwa watu waliokuwa wanataka kufanyiwa tohara. Watu hao walikuwa wanapakwa vumbi hili kwa ajili ya kufanya mkuyenge uwe na ganzi kwa hiyo akikatwa govi asihisi maumivu makali.
Kwa kuwa vumbi hilo huufanya mkuyenge kufa ganzi matumizi yake yakawa mapana zaidi ndo maana watu hupaka vumbi hilo likiwa limechanganywa na maji kama matone matatu hivi. Mkuyenge ukiwa na ganzi ni vigumu sana kwa mwanaume kuweza kutema wazungu kwa urahisi so unaweza kudumu kwenye game kwa muda mrefu sana.
 
Back
Top Bottom