Kama kumbukumbu zangu zipo sawa Phiri alipewa mechi tatu na afikishe point 7,alishinda JKT Ruvu,leo amepoteza...kwa hiyo hata akishinda mechi ijayo bado hatafikisha point 7......Haya uongozi wa Simba tunasubiri utekelezaji wa kauli zenu.
Mtamfukuza tu, mdudu wa sare kafa kaibuka mdudu wa kufungwa. UKAWA wamesema Simba itapoteza mechi 6 mfululizo, bado 5 tu ndipo Aveva atatambua uwepo wao.
Atupele Green ndiye Sserunmboo kwa leo. CC Ngarna, sembo (furaha yenu finito, niliwaambia muongee sana baada ya Mtani Jembe nikijua ligi ikianza lazima mtanuna tu), poleni zenu, hata sisi mlitubahatisha tu mkajigamba zaidi ya 2 weeks, sasa leo mmelikalia Libolo la Kagera Sugar.
Mbula ya labha nose ilatula! Ukushikutyuja mbiti ha shi gulu mho yalinduma imbula! Itashikagwa i mbula, nulu ukipela yukupandika ifulo kalunili! Otwala masuku ga ng'wiyo na gako galatwalwa du! Ng'wahi oshinga mu bhu nose ala lasa! CC. Masuke (Shinyanga ndani).
Tibaijuka 1-0 Mkamia ...
Huwa najiuliza sana hivi hii mikia ilitufungaje kwenye NANI MTANI JEMBE!!!! mbona hata wakicheza na kariokoo ya lindi watapigwa tu hawa???