VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

Chambueni SOKA linaloendelea dimbani...acheni maneno, wengi wanategemea hii Forum ili kujua kinachojili uwanjani..

Kagera wamezidiwa wanashambuliwa kwelikweli maana,,,,,,,,,naona kama wameridhika mapema wanalinda goli.
 
Hawa jamaa ligi yAo ni mechi dhidi ya ynga,hiyo mechi ikiisha wanainama wapita njia wajipigie wanavotaka
 
Simba wanashambulia kwa kasi,,,,,,,huyu serunkuma vipi pale mbele anajigonga gonga tu.
 
Refarii wa leo hana kadi, maanake hawa simba wanavyokamata jezi!!! wanapaswa kupewa kadi.
 
simba kiwango bado hakiridhishi timu imekosa mipango
 
uyu serenkuma movement zake sizielewi
 
Marefarii wa tz bado kabisa, yaan wao wanajua kutoka mpira nje tu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…