Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Yanga ndiyo bingwa mpya 2014/2015 asiyetaka akufweee for us.
Hatuwezi zuia mafuriko kwa mikono, Yanga bingwa na kombe lazima lipite Msimbazi ndiyo liingie Jangwani. Mji utakuwa mdogo huu, watu watahama kwa muda.
Raha kuwa kwenye nyumba wenyeji wakimbie, mnajifanyia mtakacho.
Maana msimbazi tutakaa masaa kadhaa. Mkufwee vizuri...
#teamyanga #
Hatuwezi zuia mafuriko kwa mikono, Yanga bingwa na kombe lazima lipite Msimbazi ndiyo liingie Jangwani. Mji utakuwa mdogo huu, watu watahama kwa muda.
Raha kuwa kwenye nyumba wenyeji wakimbie, mnajifanyia mtakacho.
Maana msimbazi tutakaa masaa kadhaa. Mkufwee vizuri...
#teamyanga #