mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,092
Wakati watani zao Yanga afrika jana wakifanya kufuru ya kuwatandika ruvu shooting ya pwani goli 5-0, Leo timu ya simba sc itakuwa dimbani uwanja wa taifa kumenyana na timu kutoka kusini mwa tanzania Ndanda fc ya Mtwara.
Timu zote mbili zinahitaji point 3 ili kujiweka katika mazingira mazur kwenye msimamo wa ligi kuu.
Simba inahitaji point 3 ili kujiweka mazingira ya kushika nafasi ya pili ili mwakani iweze kushiriki mashindano ya kimataifa.
Huku ndanda wakitafuta point 3 ili kujiweka mazingira mazur ya kukwepa mkasa wa kushuka daraja.
Naitakia kila la kheir timu ya nyumbani NDANDA FC.
Timu zote mbili zinahitaji point 3 ili kujiweka katika mazingira mazur kwenye msimamo wa ligi kuu.
Simba inahitaji point 3 ili kujiweka mazingira ya kushika nafasi ya pili ili mwakani iweze kushiriki mashindano ya kimataifa.
Huku ndanda wakitafuta point 3 ili kujiweka mazingira mazur ya kukwepa mkasa wa kushuka daraja.
Naitakia kila la kheir timu ya nyumbani NDANDA FC.