Azamtv wanarusha za yanga vs ruvu shooting taifa, Azam fc vs stand united kambarage shinyanga na Mgambo jkt sijui anakipiga na nani vile kule mkwakwani Tanga.
Nawaonea huruma sana Ndanda Fc, cha msingi wajiandae kisaikolojia kwa kipigo! Nipo kirumba nasubiri game ya Kagera ila macho na masikio yapo huko Mtwara