Haiwezekani kutumia mitandao yote, labda utatumia kwa sasatel na zantel maana wanatumia teknolojia ya aina moja cdmaSamahani wajumbe hivi modem ya ttcl inachakachulika na kutumia mitandao yote.
Mkuu tatizo la hizi modem hazitumii sim card, inamaana zinakuwa zimetengenezewa uwezo wa kuwasiliana na mtandao fulani tu(kunakuwa na kitu kama inbuilt simcard), hivyo ukitaka kuchakachua lazima uhusishe mtandao mwingine unao taka kuitumia baada ya kuchakachua ili waipe uwezo wa kuconnect na wao,hebu niambie una modem ya model gani? huwawei nyingi zinachakachulika ila njia ndio tofauti kulingana na model ya modem.
baadhi ni ngumu na baadhi ni nyepesi