Vp kuhusu chumba kimoja!?

Vp kuhusu chumba kimoja!?

sasa wote tumepita huko ambao hawajapita huko wameanzia labda nyumba za urithi!!!!!! na wachache awlioanzia kota au waliopangiwa na makampuni na mashirika!!unashangaa hapo uko peke yako watu tumeanza na single rum afu tupo wanne na tuna mademu na tunatembelewa na ndugu!

Acha maskhara jamaangu, chumba kimoja watu wanne na mna madem!! na bado mnatembelewa na wazazi! ngumu kuamini aisee!!
 
aaah maisha haya acheni tu, kila mtu anasiri yake hasa maisha ya mkoa wa Dsm :shocked:
 
Mbna me naenjoy sna tu kka hyo life style sema tu linamatter na age yako pia, la msingi uwe msafi na getho ulipige na vyombo vya uhakika!

alafu apande na maua sio tehe! chumba kimoko raha sana
 
wewe jamaa umekulia wapi labda kweli hujanielewa nikueleweshe kirahisi....mna mademu na mnapigana xile za mchana,mwana anapiga wengine mko nje au kwenye mishe...ukitaka kulala na demu humo unaweza kubahatisha mara 1 kwa miezi miwili au ukalale guest au lodge!!sasa kimjini ndugu wanakutembelea hakuna kulala!!na wote wanajua kuwa umeanza maisha!!!!iko hivyo na ndio ukweli kitanda na dodoro na godoro jingine chini ya uvungu usiku mnalitoa mnaliweka pembeni ya kitanda mnaangusha wawiliwawili tena kwa zamu wiki hii chini hawa wiki ijayo bed>>>>tumetoka mbaali afu mtu anakuja kutaka kukudhulumu chako anbadilisha hati jina(haibaki hata panya kwao)
Acha maskhara jamaangu, chumba kimoja watu wanne na mna madem!! na bado mnatembelewa na wazazi! ngumu kuamini aisee!!
 
Jitahidi angalau upate chumba na sebule,chumba 1 du sasa chupi utaanika wapi?,ukitembelewa na bi mkubwa na dadazako nguo utabadilishia wapi?,ok ni mtizamo wangu tu.

Naamini watu tunaishi kwa ndoto,fikra na uwezo wa akili, na mali. Napenda kuwakumbusha wanajamii msilazimishe ndoto zetu ziwe kwa haraka.Tumieni akili, uwezo na nguvu kupata ki-halali mvitakavyo.
 
wengine bado wanatembelea vogue lakini wanaishi chumba kimoja, bongo bana

Ha Ha Ha Hao Kina Yahya anapaki X5 CCM then anatembea kwa mguu kama kilometer moja then anapitia ndimu na nyanya aende kupika kwenye kachumba chake kimoja lol
 
Dah...!!
Nimekumbuka mbali sana nilipoanza maisha kwenye chumba 1, lakini leo namiliki mijengo 2 ya kawaida. Lakini huku nilipo bado naishi kwenye chumba 1.
Wekomaa tu usione hatari, and something is better than northing. Just pull up your sox brother
 
Acha maskhara jamaangu, chumba kimoja watu wanne na mna madem!! na bado mnatembelewa na wazazi! ngumu kuamini aisee!!

Ndugu siyo wazazi, point of correction mkuu
 
mkuu mbona wengi tumetoka hukohuko, ni kawaida tu cha msingi usafi.
 
Dah...!!
Nimekumbuka mbali sana nilipoanza maisha kwenye chumba 1, lakini leo namiliki mijengo 2 ya kawaida. Lakini huku nilipo bado naishi kwenye chumba 1.
Wekomaa tu usione hatari, and something is better than northing. Just pull up your sox brother

Una mijengo miwili na bado huko ulipo inaishi chumba kimoja, umejenga wapi hiyo mijengo nawewe unaishi wapi sasa!!
 
Dah...!!
Nimekumbuka mbali sana nilipoanza maisha kwenye chumba 1, lakini leo namiliki mijengo 2 ya kawaida. Lakini huku nilipo bado naishi kwenye chumba 1.
Wekomaa tu usione hatari, and something is better than northing. Just pull up your sox brother

ni masharti ya mganga au??
 
Ah! Unanikumbusha mbali sana. Nakumbuka nilikuwa na rum moja mke na mtoto. Halafu nilikuwa na kaTV screen kadogo peke yangu, wapangaji wote wanakuja kuangalia taarifa ya habari na tamthilia kwangu. Full kulala saa saba usiku kila siku. Halafu nina kitanda na stool mbili tu, wageni wawili wanakaa kwenye stool wengine wote kitandani. Halafu mmoja wa wapangaji ni demu mzuri yeye hata kama stool haina mtu anajilaza kitandani. Yaani full misala. One day wife katukuta tunaangalia Perfect Strangers tumekaa kitandani tunacheka, akajua tushaibanjua amri ya sita. Jamani!!!
 
Back
Top Bottom