Voyager 1 chombo cha ajabu kinachonitisha kichwa. Aisee! hii itakushangaza

Voyager 1 chombo cha ajabu kinachonitisha kichwa. Aisee! hii itakushangaza

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
2,266
Reaction score
4,427
Salute bosses!
Hebu nikuambie story moja ambayo imenishangaza sana sana sana, mpk nimekaa nikagusa research hii wiki nzima kuhakikisha nimeelewana na hiki kitu vizuri. The research ni kuhusu chombo cha angani kinaitwa Voyager 1, na guys ukisoma hii story mpk mwisho utajiona mdogo sana mbele ya ile technology ya miaka ya 1970s.

Tuendelee
Juzi nilikuwa naenda maeneo tu kwenye makazi ya ndugu yangu, safari yangu ys usiku nilikuwa nacheki YouTube random videos, nikakutana na documentary moja kuhusu space exploration. Yani nilikuwa nawatch tu kwa ajili ya kupitisha muda mpk usingizi uniingie. Lakini kumbe nilikua sijui ninajiiingiza kwenye nini, jamaa wanazungumza kuhusu spacecraft fulani iliyotumwa mwaka 1977 bado inafanya kazi mpk sasa. Hapo akili ikagousa kitu, nikasema kwani hii ni nini sasa.

Nilivyofika makazi yao next morning sikuweza kupiga story nyingine, nilikuwa naongelea Voyager. Wadau wakanicheka sana wakaniambia mimi najifanya mjanja kumbe sijui hata basic space exploration. Lkn sikujali nikaona ni unyama tu, niliamua nitumie muda wangu kuelewa hii kitu vizuri.


Voyager 1 ni nini hasa?
Nikupe background kidogo ya hii kitu mwanetu. Mwaka 1977, wakati baba zetu walikuwa wanacheza draft na kusikilia kaset hapa Bongo, wazungu pale NASA walikuwa wanaandaa jambo kubwa. Walikuwa wameunda hizi spacecraft mbili Voyager 1 na Voyager 2. Hivi vyombo vilikuwa na mission simple lkn noma sana, mission ilikuwa kwenda kuvumbua sayari za mbali Jupiter na Saturn, kisha kuendelea safari bila kurudi tena.

Sept 5, 1977 Voyager 1 ilirushwa angani kutoka Florida. Na hapa ndio mambo yalianza, hiyo spacecraft haikuwa kama hizi satellites za leo ambazo zinaenda kwenye orbit kuzunguka Dunia tu, hapana. Hii bhan ilikuwa designed kwenda mbali kinom, na kuendelea kusafiri daima bila kusimama.

Nikakaa nikafanya hesabu, nikagundua kuwa tangu 1977 mpk 2026 sasa ni miaka 47+. Yani chombo hiki bado kinafanya kazi baada ya miaka yote hii, kinatupelekea data kutoka nje ya solar system yetu. Hiki kitu ambacho huwezi kuamini ikiwa haujaelewa vizuri.(😂 Wifi yangu huvuki mita 50 connection inapotea)

1773178007145.jpeg


Umbali gani tunazungumzia hapa?
Hapa ndio kiswahili kinaingia mdau. Voyager 1 sasa hivi iko umbali wa zaidi ya billion miles 15+ kutoka duniani. Yaani tukibadilisha kwenye kilomita tunasema zaidi ya kilomita billion 24. Hii ni namba ambayo akili yako haiwezi kuchakata vizuri.

Nikupe mfano rahisi uelewe. Ukituma signal kutoka Voyager 1 kuja Duniani inachukua masaa 22. Yani leo unatuma message saa 8 asubuhi, jibu linakuja kesho asubuhi saa 6. Hapo unaona umbali kiasi gani tunazungumzia.(Kunakuwa na network delay kwasababu ya huu umbali
Mwanga unasafiri kwa kasi ya kilomita 300,000 kwa sekunde, hiyo ndiyo kasi kubwa zaidi ulimwenguni. Lkn bado signal kutoka Voyager inachukua masaa 22. Fikiria hiyo umbali ni kiasi gani.

Noma sana hapa ndio niliposhangaa zaidi Technology ya 1970s(Oya ni hatari aise)
Nikisoma kuhusu computer iliyopo ndani ya Voyager 1, nilikuwa sijaamini. Jamaa hiyo spacecraft ina memory ya kilobyte 64 tu. Yani 64KB. Hata simu ya kabambe za zamani ilikuwa na memory zaidi kuliko hiyo. Smartphone yako ya sasa ina memory kubwa yaani million times zaidi kuliko Voyager 1.

Lkn voyager bado inafanya kazi perfectly!

Hii ndiyo ilinifanya nijipige maswali mengi sana. Wale engineers wa NASA walikuwa na akili ya aina gani? Yani walijenga kitu ambacho kitafanya kazi miaka 50+ bila kumgusa mtu, bila kupata update, bila kupata maintenance. Walijua kabisa hawana backup plan, hawana mbadala wa kutuma technicians kwenda kuirekebisha huko angani. Walipaswa kufanya kazi iliyonyooka sana mara ya kwanza tu.

Aise na walifanya exactly hivyo.

1773178176459.webp


Ujumbe Uliwekwa kwenye Voyager 1 kwaajili ya Aliens.
Kuna kitu kimoja ambacho kilinigusa sana ktk hii story ya Voyager. Wale wazungu walitengeneza kitu kinaitwa Golden Record. Hii ni disk ya dhahabu iliyorekodi sauti, muziki, picha na ujumbe kutoka Duniani.

Waliweka nini? Waliweka sauti za wanyama, mawimbi ya bahari, upepo, radi na sauti za asili nyingine. Waliweka muziki kutoka tamaduni mbalimbali duniani, classical music, rock and roll, na mziki wa asili wa Africa. Waliweka picha za watu, miji, wanyama, mimea na maisha yetu ya kila siku kwenye hiyo disk.

Kwanini walifanya hivi? Yani nikichukua muda kujifikiria kuhusu hii, inanigusa sana. Wale wazungu waliamini kuwa siku moja, labda baada ya miaka elfu au milioni, kiumbe kingine kikutana na Voyager huko angani na kitajua kuhusu sisi. Kitajua kuhusu binadamu, kuhusu maisha yetu duniani, kuhusu tamaduni zetu.

Haya ndio maono halisi mdau, kupanga kwa vizazi ambavyo hautaishi kuviona.

1773178091353.jpeg


Je Voyager inatumia nishati gani mbona ime-survive muda hivyo?
Hapa nilijifunza kitu kingine cha ajabu. Voyager 1 haitumii solar panels kama satellites za kawaida za sasa. Haitumii betr za lithium kama simu zetu. Mzigo unatumia kitu kinaitwa RTG (Radioisotope Thermoelectric Generator). Ni aina ya nuclear battery ambayo inatoa nishati polepole polepole kwa muda mrefu sana(Kama mnavyojua nishati ya nuclear ni ngumu mno kuisha).

Sasa hivi, miaka 47 baadaye, hiyo battery bado inatoa nguvu almost watts 249. Yani sawa na bulb mbili au tatu za nyumbani. Na hiyo nguvu ndogo kidogo ndiyo inayotumika kuipa nguvu component zote, kutuma data nyuma Duniani, kuendesha kila kitu.

Niliposoma hii nilijiona mdogo sana. Yani tunazungumzia betri iliyoundwa 1977 bado inafanya kazi 2026(😂). Simu yako ya sasa betri yake inadumu miaka mingapi? Mwaka mmoja? Miaka miwili? Lkn hiyo ya Voyager imefanya kazi miaka 47 bila shida.

Wanasayansi wanasema by 2025 au 2026 watahitaji kuanza kuzima baadhi ya sehemu ili kuokoa nishati ya chombo hiki. Lkn bado, tutaendelea kuzungumza na Voyager mpk karibu 2036 hivi. Yaani spacecraft itakuwa imefanya kazi miaka 59. Hii ni kitu gani sasa? 😟


Inaelekea wapi na kwa kasi gani?
Voyager 1 inasafiri kwa kasi ya kilomita 61,000 kwa saa. Kila saa inaenda mbali zaidi na zaidi kutoka kwa Jua letu. Inaelekea upande wa constellation ya Ophiuchus mbali angani.

Wanasayansi wanasema baada ya miaka 40,000 itapita karibu na nyota fulani huko mbali. Lkn hakuna mtu anajua itaishia wapi. Inaweza ikaendelea kusafiri milele, ikizunguka galaxy yetu, ikibeba ujumbe wa binadamu kwa siku zijazo.
Mwaka 2012 Voyager 1 ilifika kwenye interstellar space. Hii ni eneo gani ambalo binadamu hatujawahi kufikia. Ni nafasi kati ya nyota, nje kabisa ya solar system yetu. Ni chombo cha kwanza cha binadamu kuingia hapo.

1773178369067.jpeg

Picha ambayo itakushangaza kutoka Voyager 1.
Kuna kitu kimoja kingine ambacho kilinitia msisimko sana nilikuwa nafanya hii research. Mwaka 1990, mwanasayansi Carl Sagan aliomba NASA waondoe Voyager 1 igeuke nyuma ichukue picha ya Dunia. Yani spacecraft ilikuwa imekwenda mbali sana tayari, ilikuwa nje ya sayari zetu zote.

NASA wakafanya hivyo. Na picha iliyorudi ilikuwa ya kushangaza sana. Kutoka umbali wa billion miles 3.7, Dunia ilionekana kama pixel moja tu, kama vumbi kidogo kwenye ray of light. Carl Sagan aliita picha hii "Pale Blue Dot" nukta ya bluu iliyofifia.

Dah! akaandika maneno ambayo mpk leo yameniingia moyoni: "Look again at that dot. That's here. That's home. That's us. On it everyone you love, everyone you know, everyone you ever heard of, every human being who ever was, lived out their lives."

Hii picha ilibadilisha mtazamo wa watu wengi kuhusu umuhimu wetu hapa ulimwenguni. Tunadhani sisi ni wakubwa, tunajiona muhimu sana, lkn kutoka mbali kidogo tu sisi ni vumbi tu kwenye huu ulimwengu mkubwa.

1773178284897.jpeg

Nilichojifunza kwenye hii research.
Nilikaa nikafikiria sana kuhusu hii story ya Voyager 1, nikapata mshangao sana. Kwanza, wale wazee wa miaka ya 70s walikuwa na nidhamu na plan ambayo sisi leo hii tunaikosa kabisa. Walijenga kitu ambacho kitadumu vizazi.

Sisi leo tunajenga nini? Simu ambazo baada ya miaka miwili zinahitaji kubadilishwa. Magari ambayo baada ya miaka mitano yanakuwa outdated. Nyumba ambazo baada ya miaka kumi zinahitaji kurekebishwa. Lkn wao walijenga spacecraft ambayo bado inafanya kazi miaka 47 baadaye.

Pili, ancient technology si lazima iwe primitive. Yaani kitu cha zamani kinaweza kikawa bora kuliko cha leo kama kiliundwa vizuri. Voyager 1 ina technology ya miaka 47 iliyopita lkn bado inafanya kazi better kuliko satellites nyingi za leo ambazo zinazimika baada ya miaka michache.

Tatu, maono ni muhimu sana. Wale ma-engineer walipanga kitu ambacho kitasaidia vizazi ambavyo hawataviona. Walijua watoto wa watoto wao wataendelea kupokea data kutoka Voyager. Hiyo ndiyo maana ya kuthibitisha urithi wa kweli.

Changamoto tuliyonayo sisi
Mimi ni mpenzi sana teknojia, napenda kujua jinsi vitu vinavyofanya kazi. Lkn Aisee hii Voyager imenifundisha kitu tofauti kabisa. Hainitafundisha kuhusu ugumu, bali kuhusu uwepesi.

Dunia ya leo tunajifanya werevu sana sana. Tunaweka AI kila mahali, tunaweka features nyingi kwenye kila kitu. Tunaunda vitu vya complicated bila sababu. Lkn je tunaweza tukajenga kitu ambacho kitafanya kazi bila kusumbuliwa miaka 50? Suala kubwa sana.

Voyager 1 ilikuwa simple, ilikuwa na mission moja iliyonyooka, iliundwa kufanya kazi na kudumu. Na imefanya exactly hivyo kwa miaka 47. Hamna utani, hamna update kila wiki, hamna maintenance. Just pure performance ndio ina exist.

Hii ndiyo inanifanya nijiulize, sisi tunakwenda wapi na technology yetu ya sasa? Tunajifanya werevu lkn tunakosa basics ambazo ni muhimu. Tunajenga vitu ambavyo haviwezi kudumu. Tunakosa subira na usahihi.


Kwa wabongo wenzangu naomba msikilize
Hii story ya Voyager tuonaona kwamba tunaweza tukafanya mambo makubwa bila kuwa na teknolojia ya kisasa zaidi kama tunavyodhani. Tunaweza tukajenga, tukaunda, tukafanya kazi zenye quality bila shida.

Sio lazima mtu awe na computer ya hali ya juu. Sio lazima awe na vifaa vya kisasa sana.

Mimi nikikaa nikafikiria kuhusu hawa engineers(Wahandisi) wale wa NASA, ninawaheshimu sana sana. Hawakuwa na computer simulations nzuri kama ya leo. Hawakuwa hata na AI. Hawakuwa na GPT ya kuwaandikia code. Ilibidi kuhesabu kila kitu manually, kufanya tests nyingi, kufikiria scenarios zote zinazowezekana ili tu waje na product itakayo timiza maono yao.


Na walishinda. Waliunda kitu ambacho mpk leo kinafanya kazi perfectly bila shida yeyote, kinashinda hata technology mpya nyingi tu.

Namaliza hapa
Voyager 1 bado iko huko nje, inaendelea na safari yake ya milele. Kila siku inaenda mbali zaidi na zaidi, ikibeba ujumbe wetu, ikibeba matumaini yetu, ikibeba dhamira ya binadamu.

Na kila siku inatufundisha watu kwamba tunaweza tukafanya vitu vikubwa, vitu vya kudumu, vitu ambavyo vizazi vijavyo vitashukuru.

Mimi nimefanya research yangu, nimeelewa vizuri, na sasa nimejipa ahadi kuwa kila kitu nitakachofanya kitakuwa na quality. Sitaki tena kujenga vitu ambavyo baada ya muda mfupi ni kilio na vinahitaji kurekebishwa. Nataka kujenga vitu vya kudumu, kama Voyager.

Again I salute all you bosses, nimekaa sana kupiga huu uzi lkn naamini imekuwa worth it sana. Kama una maswali ama any additional tuwekee hapa chini, tutajadiliana.
 
We unahisi lilikikuwa ni wazo zuri la kuweka information za dunia jinsi tunavyo ishi wakati hatujui huku farspace kuna nini, kama kuna viumbe wengine kwenye galaxy yetu hatujui kama ni wazuri au la vipi wakitumia hizo information na kutusoma jinsi tulivyo na kupata advatange kama wanataka kutushambulia
 
Salute bosses!
Hebu nikuambie story moja ambayo imenishangaza sana sana sana, mpk nimekaa nikagusa research hii wiki nzima kuhakikisha nimeelewana na hiki kitu vizuri. The research ni kuhusu chombo cha angani kinaitwa Voyager 1, na guys ukisoma hii story mpk mwisho utajiona mdogo sana mbele ya ile technology ya miaka ya 1970s.

Tuendelee
Juzi nilikuwa naenda maeneo tu kwenye makazi ya ndugu yangu, safari yangu ys usiku nilikuwa nacheki YouTube random videos, nikakutana na documentary moja kuhusu space exploration. Yani nilikuwa nawatch tu kwa ajili ya kupitisha muda mpk usingizi uniingie. Lakini kumbe nilikua sijui ninajiiingiza kwenye nini, jamaa wanazungumza kuhusu spacecraft fulani iliyotumwa mwaka 1977 bado inafanya kazi mpk sasa. Hapo akili ikagousa kitu, nikasema kwani hii ni nini sasa.

Nilivyofika makazi yao next morning sikuweza kupiga story nyingine, nilikuwa naongelea Voyager. Wadau wakanicheka sana wakaniambia mimi najifanya mjanja kumbe sijui hata basic space exploration. Lkn sikujali nikaona ni unyama tu, niliamua nitumie muda wangu kuelewa hii kitu vizuri.


Voyager 1 ni nini hasa?
Nikupe background kidogo ya hii kitu mwanetu. Mwaka 1977, wakati baba zetu walikuwa wanacheza draft na kusikilia kaset hapa Bongo, wazungu pale NASA walikuwa wanaandaa jambo kubwa. Walikuwa wameunda hizi spacecraft mbili Voyager 1 na Voyager 2. Hivi vyombo vilikuwa na mission simple lkn noma sana, mission ilikuwa kwenda kuvumbua sayari za mbali Jupiter na Saturn, kisha kuendelea safari bila kurudi tena.

Sept 5, 1977 Voyager 1 ilirushwa angani kutoka Florida. Na hapa ndio mambo yalianza, hiyo spacecraft haikuwa kama hizi satellites za leo ambazo zinaenda kwenye orbit kuzunguka Dunia tu, hapana. Hii bhan ilikuwa designed kwenda mbali kinom, na kuendelea kusafiri daima bila kusimama.

Nikakaa nikafanya hesabu, nikagundua kuwa tangu 1977 mpk 2026 sasa ni miaka 47+. Yani chombo hiki bado kinafanya kazi baada ya miaka yote hii, kinatupelekea data kutoka nje ya solar system yetu. Hiki kitu ambacho huwezi kuamini ikiwa haujaelewa vizuri.(😂 Wifi yangu huvuki mita 50 connection inapotea)

View attachment 3556220

Umbali gani tunazungumzia hapa?
Hapa ndio kiswahili kinaingia mdau. Voyager 1 sasa hivi iko umbali wa zaidi ya billion miles 15+ kutoka duniani. Yaani tukibadilisha kwenye kilomita tunasema zaidi ya kilomita billion 24. Hii ni namba ambayo akili yako haiwezi kuchakata vizuri.

Nikupe mfano rahisi uelewe. Ukituma signal kutoka Voyager 1 kuja Duniani inachukua masaa 22. Yani leo unatuma message saa 8 asubuhi, jibu linakuja kesho asubuhi saa 6. Hapo unaona umbali kiasi gani tunazungumzia.(Kunakuwa na network delay kwasababu ya huu umbali
Mwanga unasafiri kwa kasi ya kilomita 300,000 kwa sekunde, hiyo ndiyo kasi kubwa zaidi ulimwenguni. Lkn bado signal kutoka Voyager inachukua masaa 22. Fikiria hiyo umbali ni kiasi gani.

Noma sana hapa ndio niliposhangaa zaidi Technology ya 1970s(Oya ni hatari aise)
Nikisoma kuhusu computer iliyopo ndani ya Voyager 1, nilikuwa sijaamini. Jamaa hiyo spacecraft ina memory ya kilobyte 64 tu. Yani 64KB. Hata simu ya kabambe za zamani ilikuwa na memory zaidi kuliko hiyo. Smartphone yako ya sasa ina memory kubwa yaani million times zaidi kuliko Voyager 1.

Lkn voyager bado inafanya kazi perfectly!

Hii ndiyo ilinifanya nijipige maswali mengi sana. Wale engineers wa NASA walikuwa na akili ya aina gani? Yani walijenga kitu ambacho kitafanya kazi miaka 50+ bila kumgusa mtu, bila kupata update, bila kupata maintenance. Walijua kabisa hawana backup plan, hawana mbadala wa kutuma technicians kwenda kuirekebisha huko angani. Walipaswa kufanya kazi iliyonyooka sana mara ya kwanza tu.

Aise na walifanya exactly hivyo.

View attachment 3556224

Ujumbe Uliwekwa kwenye Voyager 1 kwaajili ya Aliens.
Kuna kitu kimoja ambacho kilinigusa sana ktk hii story ya Voyager. Wale wazungu walitengeneza kitu kinaitwa Golden Record. Hii ni disk ya dhahabu iliyorekodi sauti, muziki, picha na ujumbe kutoka Duniani.

Waliweka nini? Waliweka sauti za wanyama, mawimbi ya bahari, upepo, radi na sauti za asili nyingine. Waliweka muziki kutoka tamaduni mbalimbali duniani, classical music, rock and roll, na mziki wa asili wa Africa. Waliweka picha za watu, miji, wanyama, mimea na maisha yetu ya kila siku kwenye hiyo disk.

Kwanini walifanya hivi? Yani nikichukua muda kujifikiria kuhusu hii, inanigusa sana. Wale wazungu waliamini kuwa siku moja, labda baada ya miaka elfu au milioni, kiumbe kingine kikutana na Voyager huko angani na kitajua kuhusu sisi. Kitajua kuhusu binadamu, kuhusu maisha yetu duniani, kuhusu tamaduni zetu.

Haya ndio maono halisi mdau, kupanga kwa vizazi ambavyo hautaishi kuviona.

View attachment 3556221

Je Voyager inatumia nishati gani mbona ime-survive muda hivyo?
Hapa nilijifunza kitu kingine cha ajabu. Voyager 1 haitumii solar panels kama satellites za kawaida za sasa. Haitumii betr za lithium kama simu zetu. Mzigo unatumia kitu kinaitwa RTG (Radioisotope Thermoelectric Generator). Ni aina ya nuclear battery ambayo inatoa nishati polepole polepole kwa muda mrefu sana(Kama mnavyojua nishati ya nuclear ni ngumu mno kuisha).

Sasa hivi, miaka 47 baadaye, hiyo battery bado inatoa nguvu almost watts 249. Yani sawa na bulb mbili au tatu za nyumbani. Na hiyo nguvu ndogo kidogo ndiyo inayotumika kuipa nguvu component zote, kutuma data nyuma Duniani, kuendesha kila kitu.

Niliposoma hii nilijiona mdogo sana. Yani tunazungumzia betri iliyoundwa 1977 bado inafanya kazi 2026(😂). Simu yako ya sasa betri yake inadumu miaka mingapi? Mwaka mmoja? Miaka miwili? Lkn hiyo ya Voyager imefanya kazi miaka 47 bila shida.

Wanasayansi wanasema by 2025 au 2026 watahitaji kuanza kuzima baadhi ya sehemu ili kuokoa nishati ya chombo hiki. Lkn bado, tutaendelea kuzungumza na Voyager mpk karibu 2036 hivi. Yaani spacecraft itakuwa imefanya kazi miaka 59. Hii ni kitu gani sasa? 😟


Inaelekea wapi na kwa kasi gani?
Voyager 1 inasafiri kwa kasi ya kilomita 61,000 kwa saa. Kila saa inaenda mbali zaidi na zaidi kutoka kwa Jua letu. Inaelekea upande wa constellation ya Ophiuchus mbali angani.

Wanasayansi wanasema baada ya miaka 40,000 itapita karibu na nyota fulani huko mbali. Lkn hakuna mtu anajua itaishia wapi. Inaweza ikaendelea kusafiri milele, ikizunguka galaxy yetu, ikibeba ujumbe wa binadamu kwa siku zijazo.
Mwaka 2012 Voyager 1 ilifika kwenye interstellar space. Hii ni eneo gani ambalo binadamu hatujawahi kufikia. Ni nafasi kati ya nyota, nje kabisa ya solar system yetu. Ni chombo cha kwanza cha binadamu kuingia hapo.

View attachment 3556228
Picha ambayo itakushangaza kutoka Voyager 1.
Kuna kitu kimoja kingine ambacho kilinitia msisimko sana nilikuwa nafanya hii research. Mwaka 1990, mwanasayansi Carl Sagan aliomba NASA waondoe Voyager 1 igeuke nyuma ichukue picha ya Dunia. Yani spacecraft ilikuwa imekwenda mbali sana tayari, ilikuwa nje ya sayari zetu zote.

NASA wakafanya hivyo. Na picha iliyorudi ilikuwa ya kushangaza sana. Kutoka umbali wa billion miles 3.7, Dunia ilionekana kama pixel moja tu, kama vumbi kidogo kwenye ray of light. Carl Sagan aliita picha hii "Pale Blue Dot" nukta ya bluu iliyofifia.

Dah! akaandika maneno ambayo mpk leo yameniingia moyoni: "Look again at that dot. That's here. That's home. That's us. On it everyone you love, everyone you know, everyone you ever heard of, every human being who ever was, lived out their lives."

Hii picha ilibadilisha mtazamo wa watu wengi kuhusu umuhimu wetu hapa ulimwenguni. Tunadhani sisi ni wakubwa, tunajiona muhimu sana, lkn kutoka mbali kidogo tu sisi ni vumbi tu kwenye huu ulimwengu mkubwa.

View attachment 3556227
Nilichojifunza kwenye hii research.
Nilikaa nikafikiria sana kuhusu hii story ya Voyager 1, nikapata mshangao sana. Kwanza, wale wazee wa miaka ya 70s walikuwa na nidhamu na plan ambayo sisi leo hii tunaikosa kabisa. Walijenga kitu ambacho kitadumu vizazi.

Sisi leo tunajenga nini? Simu ambazo baada ya miaka miwili zinahitaji kubadilishwa. Magari ambayo baada ya miaka mitano yanakuwa outdated. Nyumba ambazo baada ya miaka kumi zinahitaji kurekebishwa. Lkn wao walijenga spacecraft ambayo bado inafanya kazi miaka 47 baadaye.

Pili, ancient technology si lazima iwe primitive. Yaani kitu cha zamani kinaweza kikawa bora kuliko cha leo kama kiliundwa vizuri. Voyager 1 ina technology ya miaka 47 iliyopita lkn bado inafanya kazi better kuliko satellites nyingi za leo ambazo zinazimika baada ya miaka michache.

Tatu, maono ni muhimu sana. Wale ma-engineer walipanga kitu ambacho kitasaidia vizazi ambavyo hawataviona. Walijua watoto wa watoto wao wataendelea kupokea data kutoka Voyager. Hiyo ndiyo maana ya kuthibitisha urithi wa kweli.

Changamoto tuliyonayo sisi
Mimi ni mpenzi sana teknojia, napenda kujua jinsi vitu vinavyofanya kazi. Lkn Aisee hii Voyager imenifundisha kitu tofauti kabisa. Hainitafundisha kuhusu ugumu, bali kuhusu uwepesi.

Dunia ya leo tunajifanya werevu sana sana. Tunaweka AI kila mahali, tunaweka features nyingi kwenye kila kitu. Tunaunda vitu vya complicated bila sababu. Lkn je tunaweza tukajenga kitu ambacho kitafanya kazi bila kusumbuliwa miaka 50? Suala kubwa sana.

Voyager 1 ilikuwa simple, ilikuwa na mission moja iliyonyooka, iliundwa kufanya kazi na kudumu. Na imefanya exactly hivyo kwa miaka 47. Hamna utani, hamna update kila wiki, hamna maintenance. Just pure performance ndio ina exist.

Hii ndiyo inanifanya nijiulize, sisi tunakwenda wapi na technology yetu ya sasa? Tunajifanya werevu lkn tunakosa basics ambazo ni muhimu. Tunajenga vitu ambavyo haviwezi kudumu. Tunakosa subira na usahihi.


Kwa wabongo wenzangu naomba msikilize
Hii story ya Voyager tuonaona kwamba tunaweza tukafanya mambo makubwa bila kuwa na teknolojia ya kisasa zaidi kama tunavyodhani. Tunaweza tukajenga, tukaunda, tukafanya kazi zenye quality bila shida.

Sio lazima mtu awe na computer ya hali ya juu. Sio lazima awe na vifaa vya kisasa sana.

Mimi nikikaa nikafikiria kuhusu hawa engineers(Wahandisi) wale wa NASA, ninawaheshimu sana sana. Hawakuwa na computer simulations nzuri kama ya leo. Hawakuwa hata na AI. Hawakuwa na GPT ya kuwaandikia code. Ilibidi kuhesabu kila kitu manually, kufanya tests nyingi, kufikiria scenarios zote zinazowezekana ili tu waje na product itakayo timiza maono yao.


Na walishinda. Waliunda kitu ambacho mpk leo kinafanya kazi perfectly bila shida yeyote, kinashinda hata technology mpya nyingi tu.

Namaliza hapa
Voyager 1 bado iko huko nje, inaendelea na safari yake ya milele. Kila siku inaenda mbali zaidi na zaidi, ikibeba ujumbe wetu, ikibeba matumaini yetu, ikibeba dhamira ya binadamu.

Na kila siku inatufundisha watu kwamba tunaweza tukafanya vitu vikubwa, vitu vya kudumu, vitu ambavyo vizazi vijavyo vitashukuru.

Mimi nimefanya research yangu, nimeelewa vizuri, na sasa nimejipa ahadi kuwa kila kitu nitakachofanya kitakuwa na quality. Sitaki tena kujenga vitu ambavyo baada ya muda mfupi ni kilio na vinahitaji kurekebishwa. Nataka kujenga vitu vya kudumu, kama Voyager.

Again I salute all you bosses, nimekaa sana kupiga huu uzi lkn naamini imekuwa worth it sana. Kama una maswali ama any additional tuwekee hapa chini, tutajadiliana.
Inavutia sana aisee. Umechunguza na kuchambua na kurl
 
We unahisi lilikikuwa ni wazo zuri la kuweka information za dunia jinsi tunavyo ishi wakati hatujui huku farspace kuna nini, kama kuna viumbe wengine kwenye galaxy yetu hatujui kama ni wazuri au la vipi wakitumia hizo information na kutusoma jinsi tulivyo na kupata advatange kama wanataka kutushambulia
Kuna wanasayansi walishaliongea hili nadhani Stephen Hawking aliwahi kutoa onyo Kuna uwezekano Aliens wakawa wametuzidi akili na pia technology yao pengine ni 2X ya kwetu. Ingawa Kuna wanasayansi wali argue wakasema kama ni hivyo basi Kuna ugeni tungeupata muda mrefu sana before sisi hatujaanza kufanya exploration.
 
Salute bosses!
Hebu nikuambie story moja ambayo imenishangaza sana sana sana, mpk nimekaa nikagusa research hii wiki nzima kuhakikisha nimeelewana na hiki kitu vizuri. The research ni kuhusu chombo cha angani kinaitwa Voyager 1, na guys ukisoma hii story mpk mwisho utajiona mdogo sana mbele ya ile technology ya miaka ya 1970s.

Tuendelee
Juzi nilikuwa naenda maeneo tu kwenye makazi ya ndugu yangu, safari yangu ys usiku nilikuwa nacheki YouTube random videos, nikakutana na documentary moja kuhusu space exploration. Yani nilikuwa nawatch tu kwa ajili ya kupitisha muda mpk usingizi uniingie. Lakini kumbe nilikua sijui ninajiiingiza kwenye nini, jamaa wanazungumza kuhusu spacecraft fulani iliyotumwa mwaka 1977 bado inafanya kazi mpk sasa. Hapo akili ikagousa kitu, nikasema kwani hii ni nini sasa.

Nilivyofika makazi yao next morning sikuweza kupiga story nyingine, nilikuwa naongelea Voyager. Wadau wakanicheka sana wakaniambia mimi najifanya mjanja kumbe sijui hata basic space exploration. Lkn sikujali nikaona ni unyama tu, niliamua nitumie muda wangu kuelewa hii kitu vizuri.


Voyager 1 ni nini hasa?
Nikupe background kidogo ya hii kitu mwanetu. Mwaka 1977, wakati baba zetu walikuwa wanacheza draft na kusikilia kaset hapa Bongo, wazungu pale NASA walikuwa wanaandaa jambo kubwa. Walikuwa wameunda hizi spacecraft mbili Voyager 1 na Voyager 2. Hivi vyombo vilikuwa na mission simple lkn noma sana, mission ilikuwa kwenda kuvumbua sayari za mbali Jupiter na Saturn, kisha kuendelea safari bila kurudi tena.

Sept 5, 1977 Voyager 1 ilirushwa angani kutoka Florida. Na hapa ndio mambo yalianza, hiyo spacecraft haikuwa kama hizi satellites za leo ambazo zinaenda kwenye orbit kuzunguka Dunia tu, hapana. Hii bhan ilikuwa designed kwenda mbali kinom, na kuendelea kusafiri daima bila kusimama.

Nikakaa nikafanya hesabu, nikagundua kuwa tangu 1977 mpk 2026 sasa ni miaka 47+. Yani chombo hiki bado kinafanya kazi baada ya miaka yote hii, kinatupelekea data kutoka nje ya solar system yetu. Hiki kitu ambacho huwezi kuamini ikiwa haujaelewa vizuri.(😂 Wifi yangu huvuki mita 50 connection inapotea)

View attachment 3556220

Umbali gani tunazungumzia hapa?
Hapa ndio kiswahili kinaingia mdau. Voyager 1 sasa hivi iko umbali wa zaidi ya billion miles 15+ kutoka duniani. Yaani tukibadilisha kwenye kilomita tunasema zaidi ya kilomita billion 24. Hii ni namba ambayo akili yako haiwezi kuchakata vizuri.

Nikupe mfano rahisi uelewe. Ukituma signal kutoka Voyager 1 kuja Duniani inachukua masaa 22. Yani leo unatuma message saa 8 asubuhi, jibu linakuja kesho asubuhi saa 6. Hapo unaona umbali kiasi gani tunazungumzia.(Kunakuwa na network delay kwasababu ya huu umbali
Mwanga unasafiri kwa kasi ya kilomita 300,000 kwa sekunde, hiyo ndiyo kasi kubwa zaidi ulimwenguni. Lkn bado signal kutoka Voyager inachukua masaa 22. Fikiria hiyo umbali ni kiasi gani.

Noma sana hapa ndio niliposhangaa zaidi Technology ya 1970s(Oya ni hatari aise)
Nikisoma kuhusu computer iliyopo ndani ya Voyager 1, nilikuwa sijaamini. Jamaa hiyo spacecraft ina memory ya kilobyte 64 tu. Yani 64KB. Hata simu ya kabambe za zamani ilikuwa na memory zaidi kuliko hiyo. Smartphone yako ya sasa ina memory kubwa yaani million times zaidi kuliko Voyager 1.

Lkn voyager bado inafanya kazi perfectly!

Hii ndiyo ilinifanya nijipige maswali mengi sana. Wale engineers wa NASA walikuwa na akili ya aina gani? Yani walijenga kitu ambacho kitafanya kazi miaka 50+ bila kumgusa mtu, bila kupata update, bila kupata maintenance. Walijua kabisa hawana backup plan, hawana mbadala wa kutuma technicians kwenda kuirekebisha huko angani. Walipaswa kufanya kazi iliyonyooka sana mara ya kwanza tu.

Aise na walifanya exactly hivyo.

View attachment 3556224

Ujumbe Uliwekwa kwenye Voyager 1 kwaajili ya Aliens.
Kuna kitu kimoja ambacho kilinigusa sana ktk hii story ya Voyager. Wale wazungu walitengeneza kitu kinaitwa Golden Record. Hii ni disk ya dhahabu iliyorekodi sauti, muziki, picha na ujumbe kutoka Duniani.

Waliweka nini? Waliweka sauti za wanyama, mawimbi ya bahari, upepo, radi na sauti za asili nyingine. Waliweka muziki kutoka tamaduni mbalimbali duniani, classical music, rock and roll, na mziki wa asili wa Africa. Waliweka picha za watu, miji, wanyama, mimea na maisha yetu ya kila siku kwenye hiyo disk.

Kwanini walifanya hivi? Yani nikichukua muda kujifikiria kuhusu hii, inanigusa sana. Wale wazungu waliamini kuwa siku moja, labda baada ya miaka elfu au milioni, kiumbe kingine kikutana na Voyager huko angani na kitajua kuhusu sisi. Kitajua kuhusu binadamu, kuhusu maisha yetu duniani, kuhusu tamaduni zetu.

Haya ndio maono halisi mdau, kupanga kwa vizazi ambavyo hautaishi kuviona.

View attachment 3556221

Je Voyager inatumia nishati gani mbona ime-survive muda hivyo?
Hapa nilijifunza kitu kingine cha ajabu. Voyager 1 haitumii solar panels kama satellites za kawaida za sasa. Haitumii betr za lithium kama simu zetu. Mzigo unatumia kitu kinaitwa RTG (Radioisotope Thermoelectric Generator). Ni aina ya nuclear battery ambayo inatoa nishati polepole polepole kwa muda mrefu sana(Kama mnavyojua nishati ya nuclear ni ngumu mno kuisha).

Sasa hivi, miaka 47 baadaye, hiyo battery bado inatoa nguvu almost watts 249. Yani sawa na bulb mbili au tatu za nyumbani. Na hiyo nguvu ndogo kidogo ndiyo inayotumika kuipa nguvu component zote, kutuma data nyuma Duniani, kuendesha kila kitu.

Niliposoma hii nilijiona mdogo sana. Yani tunazungumzia betri iliyoundwa 1977 bado inafanya kazi 2026(😂). Simu yako ya sasa betri yake inadumu miaka mingapi? Mwaka mmoja? Miaka miwili? Lkn hiyo ya Voyager imefanya kazi miaka 47 bila shida.

Wanasayansi wanasema by 2025 au 2026 watahitaji kuanza kuzima baadhi ya sehemu ili kuokoa nishati ya chombo hiki. Lkn bado, tutaendelea kuzungumza na Voyager mpk karibu 2036 hivi. Yaani spacecraft itakuwa imefanya kazi miaka 59. Hii ni kitu gani sasa? 😟


Inaelekea wapi na kwa kasi gani?
Voyager 1 inasafiri kwa kasi ya kilomita 61,000 kwa saa. Kila saa inaenda mbali zaidi na zaidi kutoka kwa Jua letu. Inaelekea upande wa constellation ya Ophiuchus mbali angani.

Wanasayansi wanasema baada ya miaka 40,000 itapita karibu na nyota fulani huko mbali. Lkn hakuna mtu anajua itaishia wapi. Inaweza ikaendelea kusafiri milele, ikizunguka galaxy yetu, ikibeba ujumbe wa binadamu kwa siku zijazo.
Mwaka 2012 Voyager 1 ilifika kwenye interstellar space. Hii ni eneo gani ambalo binadamu hatujawahi kufikia. Ni nafasi kati ya nyota, nje kabisa ya solar system yetu. Ni chombo cha kwanza cha binadamu kuingia hapo.

View attachment 3556228
Picha ambayo itakushangaza kutoka Voyager 1.
Kuna kitu kimoja kingine ambacho kilinitia msisimko sana nilikuwa nafanya hii research. Mwaka 1990, mwanasayansi Carl Sagan aliomba NASA waondoe Voyager 1 igeuke nyuma ichukue picha ya Dunia. Yani spacecraft ilikuwa imekwenda mbali sana tayari, ilikuwa nje ya sayari zetu zote.

NASA wakafanya hivyo. Na picha iliyorudi ilikuwa ya kushangaza sana. Kutoka umbali wa billion miles 3.7, Dunia ilionekana kama pixel moja tu, kama vumbi kidogo kwenye ray of light. Carl Sagan aliita picha hii "Pale Blue Dot" nukta ya bluu iliyofifia.

Dah! akaandika maneno ambayo mpk leo yameniingia moyoni: "Look again at that dot. That's here. That's home. That's us. On it everyone you love, everyone you know, everyone you ever heard of, every human being who ever was, lived out their lives."

Hii picha ilibadilisha mtazamo wa watu wengi kuhusu umuhimu wetu hapa ulimwenguni. Tunadhani sisi ni wakubwa, tunajiona muhimu sana, lkn kutoka mbali kidogo tu sisi ni vumbi tu kwenye huu ulimwengu mkubwa.

View attachment 3556227
Nilichojifunza kwenye hii research.
Nilikaa nikafikiria sana kuhusu hii story ya Voyager 1, nikapata mshangao sana. Kwanza, wale wazee wa miaka ya 70s walikuwa na nidhamu na plan ambayo sisi leo hii tunaikosa kabisa. Walijenga kitu ambacho kitadumu vizazi.

Sisi leo tunajenga nini? Simu ambazo baada ya miaka miwili zinahitaji kubadilishwa. Magari ambayo baada ya miaka mitano yanakuwa outdated. Nyumba ambazo baada ya miaka kumi zinahitaji kurekebishwa. Lkn wao walijenga spacecraft ambayo bado inafanya kazi miaka 47 baadaye.

Pili, ancient technology si lazima iwe primitive. Yaani kitu cha zamani kinaweza kikawa bora kuliko cha leo kama kiliundwa vizuri. Voyager 1 ina technology ya miaka 47 iliyopita lkn bado inafanya kazi better kuliko satellites nyingi za leo ambazo zinazimika baada ya miaka michache.

Tatu, maono ni muhimu sana. Wale ma-engineer walipanga kitu ambacho kitasaidia vizazi ambavyo hawataviona. Walijua watoto wa watoto wao wataendelea kupokea data kutoka Voyager. Hiyo ndiyo maana ya kuthibitisha urithi wa kweli.

Changamoto tuliyonayo sisi
Mimi ni mpenzi sana teknojia, napenda kujua jinsi vitu vinavyofanya kazi. Lkn Aisee hii Voyager imenifundisha kitu tofauti kabisa. Hainitafundisha kuhusu ugumu, bali kuhusu uwepesi.

Dunia ya leo tunajifanya werevu sana sana. Tunaweka AI kila mahali, tunaweka features nyingi kwenye kila kitu. Tunaunda vitu vya complicated bila sababu. Lkn je tunaweza tukajenga kitu ambacho kitafanya kazi bila kusumbuliwa miaka 50? Suala kubwa sana.

Voyager 1 ilikuwa simple, ilikuwa na mission moja iliyonyooka, iliundwa kufanya kazi na kudumu. Na imefanya exactly hivyo kwa miaka 47. Hamna utani, hamna update kila wiki, hamna maintenance. Just pure performance ndio ina exist.

Hii ndiyo inanifanya nijiulize, sisi tunakwenda wapi na technology yetu ya sasa? Tunajifanya werevu lkn tunakosa basics ambazo ni muhimu. Tunajenga vitu ambavyo haviwezi kudumu. Tunakosa subira na usahihi.


Kwa wabongo wenzangu naomba msikilize
Hii story ya Voyager tuonaona kwamba tunaweza tukafanya mambo makubwa bila kuwa na teknolojia ya kisasa zaidi kama tunavyodhani. Tunaweza tukajenga, tukaunda, tukafanya kazi zenye quality bila shida.

Sio lazima mtu awe na computer ya hali ya juu. Sio lazima awe na vifaa vya kisasa sana.

Mimi nikikaa nikafikiria kuhusu hawa engineers(Wahandisi) wale wa NASA, ninawaheshimu sana sana. Hawakuwa na computer simulations nzuri kama ya leo. Hawakuwa hata na AI. Hawakuwa na GPT ya kuwaandikia code. Ilibidi kuhesabu kila kitu manually, kufanya tests nyingi, kufikiria scenarios zote zinazowezekana ili tu waje na product itakayo timiza maono yao.


Na walishinda. Waliunda kitu ambacho mpk leo kinafanya kazi perfectly bila shida yeyote, kinashinda hata technology mpya nyingi tu.

Namaliza hapa
Voyager 1 bado iko huko nje, inaendelea na safari yake ya milele. Kila siku inaenda mbali zaidi na zaidi, ikibeba ujumbe wetu, ikibeba matumaini yetu, ikibeba dhamira ya binadamu.

Na kila siku inatufundisha watu kwamba tunaweza tukafanya vitu vikubwa, vitu vya kudumu, vitu ambavyo vizazi vijavyo vitashukuru.

Mimi nimefanya research yangu, nimeelewa vizuri, na sasa nimejipa ahadi kuwa kila kitu nitakachofanya kitakuwa na quality. Sitaki tena kujenga vitu ambavyo baada ya muda mfupi ni kilio na vinahitaji kurekebishwa. Nataka kujenga vitu vya kudumu, kama Voyager.

Again I salute all you bosses, nimekaa sana kupiga huu uzi lkn naamini imekuwa worth it sana. Kama una maswali ama any additional tuwekee hapa chini, tutajadiliana.
Daah nimeambulia kitu asee. Lakini mkuu naomba hiyo link nami nipitie kwa undani wake zaidi. Ahsante sana
 
Nachokiwaza je ,hiki chombo hakigongwi na vile vimondo...
Kimetengenezwa kutedect na kukwepa hizi object ila pia kipo kwenye path ambayo ni calculated Kuna less objects, ukifuatilia zaidi space ipo empty it's almost empty kwhy hadi sasa ni ngumu kuguswa na hizi Asteroid.

Fun fact: hiki chombo wasayansi wanasema kinatembea 17,000km/second
 
Hicho chombo kimeona nn huko? kuna ulimwengu mwingne huko wenye uhai?
Main aim ya hiki chombo ilikuwa exploration ya Jupiter na Saturn. Inachukua decades kufika hizi sayari kwahy wanasayansi waliona kiendelee na exploration zingine.

There might be life out there Kuna sayari inaitwa Proxima Centauri B inasemekana ni habitable. Ila kufika tu kwenye hii Star then ufikie hii sayari inachukua almost miaka 4 kufika kwa speed ya mwanga( 4 light years away) mwanga unaotoka pale ukiangalia angani imechukua 4 years kufika ndio unauona Leo.

Fun fact: Hii Galaxy Yetu Milkway Ina billions of Stars with its own planets The sun is among the Stars. Pia Kuna billions of Galaxies each with its own Stars inside.
 
Salute bosses!
Hebu nikuambie story moja ambayo imenishangaza sana sana sana, mpk nimekaa nikagusa research hii wiki nzima kuhakikisha nimeelewana na hiki kitu vizuri. The research ni kuhusu chombo cha angani kinaitwa Voyager 1, na guys ukisoma hii story mpk mwisho utajiona mdogo sana mbele ya ile technology ya miaka ya 1970s.

Tuendelee
Juzi nilikuwa naenda maeneo tu kwenye makazi ya ndugu yangu, safari yangu ys usiku nilikuwa nacheki YouTube random videos, nikakutana na documentary moja kuhusu space exploration. Yani nilikuwa nawatch tu kwa ajili ya kupitisha muda mpk usingizi uniingie. Lakini kumbe nilikua sijui ninajiiingiza kwenye nini, jamaa wanazungumza kuhusu spacecraft fulani iliyotumwa mwaka 1977 bado inafanya kazi mpk sasa. Hapo akili ikagousa kitu, nikasema kwani hii ni nini sasa.

Nilivyofika makazi yao next morning sikuweza kupiga story nyingine, nilikuwa naongelea Voyager. Wadau wakanicheka sana wakaniambia mimi najifanya mjanja kumbe sijui hata basic space exploration. Lkn sikujali nikaona ni unyama tu, niliamua nitumie muda wangu kuelewa hii kitu vizuri.


Voyager 1 ni nini hasa?
Nikupe background kidogo ya hii kitu mwanetu. Mwaka 1977, wakati baba zetu walikuwa wanacheza draft na kusikilia kaset hapa Bongo, wazungu pale NASA walikuwa wanaandaa jambo kubwa. Walikuwa wameunda hizi spacecraft mbili Voyager 1 na Voyager 2. Hivi vyombo vilikuwa na mission simple lkn noma sana, mission ilikuwa kwenda kuvumbua sayari za mbali Jupiter na Saturn, kisha kuendelea safari bila kurudi tena.

Sept 5, 1977 Voyager 1 ilirushwa angani kutoka Florida. Na hapa ndio mambo yalianza, hiyo spacecraft haikuwa kama hizi satellites za leo ambazo zinaenda kwenye orbit kuzunguka Dunia tu, hapana. Hii bhan ilikuwa designed kwenda mbali kinom, na kuendelea kusafiri daima bila kusimama.

Nikakaa nikafanya hesabu, nikagundua kuwa tangu 1977 mpk 2026 sasa ni miaka 47+. Yani chombo hiki bado kinafanya kazi baada ya miaka yote hii, kinatupelekea data kutoka nje ya solar system yetu. Hiki kitu ambacho huwezi kuamini ikiwa haujaelewa vizuri.(😂 Wifi yangu huvuki mita 50 connection inapotea)

View attachment 3556220

Umbali gani tunazungumzia hapa?
Hapa ndio kiswahili kinaingia mdau. Voyager 1 sasa hivi iko umbali wa zaidi ya billion miles 15+ kutoka duniani. Yaani tukibadilisha kwenye kilomita tunasema zaidi ya kilomita billion 24. Hii ni namba ambayo akili yako haiwezi kuchakata vizuri.

Nikupe mfano rahisi uelewe. Ukituma signal kutoka Voyager 1 kuja Duniani inachukua masaa 22. Yani leo unatuma message saa 8 asubuhi, jibu linakuja kesho asubuhi saa 6. Hapo unaona umbali kiasi gani tunazungumzia.(Kunakuwa na network delay kwasababu ya huu umbali
Mwanga unasafiri kwa kasi ya kilomita 300,000 kwa sekunde, hiyo ndiyo kasi kubwa zaidi ulimwenguni. Lkn bado signal kutoka Voyager inachukua masaa 22. Fikiria hiyo umbali ni kiasi gani.

Noma sana hapa ndio niliposhangaa zaidi Technology ya 1970s(Oya ni hatari aise)
Nikisoma kuhusu computer iliyopo ndani ya Voyager 1, nilikuwa sijaamini. Jamaa hiyo spacecraft ina memory ya kilobyte 64 tu. Yani 64KB. Hata simu ya kabambe za zamani ilikuwa na memory zaidi kuliko hiyo. Smartphone yako ya sasa ina memory kubwa yaani million times zaidi kuliko Voyager 1.

Lkn voyager bado inafanya kazi perfectly!

Hii ndiyo ilinifanya nijipige maswali mengi sana. Wale engineers wa NASA walikuwa na akili ya aina gani? Yani walijenga kitu ambacho kitafanya kazi miaka 50+ bila kumgusa mtu, bila kupata update, bila kupata maintenance. Walijua kabisa hawana backup plan, hawana mbadala wa kutuma technicians kwenda kuirekebisha huko angani. Walipaswa kufanya kazi iliyonyooka sana mara ya kwanza tu.

Aise na walifanya exactly hivyo.

View attachment 3556224

Ujumbe Uliwekwa kwenye Voyager 1 kwaajili ya Aliens.
Kuna kitu kimoja ambacho kilinigusa sana ktk hii story ya Voyager. Wale wazungu walitengeneza kitu kinaitwa Golden Record. Hii ni disk ya dhahabu iliyorekodi sauti, muziki, picha na ujumbe kutoka Duniani.

Waliweka nini? Waliweka sauti za wanyama, mawimbi ya bahari, upepo, radi na sauti za asili nyingine. Waliweka muziki kutoka tamaduni mbalimbali duniani, classical music, rock and roll, na mziki wa asili wa Africa. Waliweka picha za watu, miji, wanyama, mimea na maisha yetu ya kila siku kwenye hiyo disk.

Kwanini walifanya hivi? Yani nikichukua muda kujifikiria kuhusu hii, inanigusa sana. Wale wazungu waliamini kuwa siku moja, labda baada ya miaka elfu au milioni, kiumbe kingine kikutana na Voyager huko angani na kitajua kuhusu sisi. Kitajua kuhusu binadamu, kuhusu maisha yetu duniani, kuhusu tamaduni zetu.

Haya ndio maono halisi mdau, kupanga kwa vizazi ambavyo hautaishi kuviona.

View attachment 3556221

Je Voyager inatumia nishati gani mbona ime-survive muda hivyo?
Hapa nilijifunza kitu kingine cha ajabu. Voyager 1 haitumii solar panels kama satellites za kawaida za sasa. Haitumii betr za lithium kama simu zetu. Mzigo unatumia kitu kinaitwa RTG (Radioisotope Thermoelectric Generator). Ni aina ya nuclear battery ambayo inatoa nishati polepole polepole kwa muda mrefu sana(Kama mnavyojua nishati ya nuclear ni ngumu mno kuisha).

Sasa hivi, miaka 47 baadaye, hiyo battery bado inatoa nguvu almost watts 249. Yani sawa na bulb mbili au tatu za nyumbani. Na hiyo nguvu ndogo kidogo ndiyo inayotumika kuipa nguvu component zote, kutuma data nyuma Duniani, kuendesha kila kitu.

Niliposoma hii nilijiona mdogo sana. Yani tunazungumzia betri iliyoundwa 1977 bado inafanya kazi 2026(😂). Simu yako ya sasa betri yake inadumu miaka mingapi? Mwaka mmoja? Miaka miwili? Lkn hiyo ya Voyager imefanya kazi miaka 47 bila shida.

Wanasayansi wanasema by 2025 au 2026 watahitaji kuanza kuzima baadhi ya sehemu ili kuokoa nishati ya chombo hiki. Lkn bado, tutaendelea kuzungumza na Voyager mpk karibu 2036 hivi. Yaani spacecraft itakuwa imefanya kazi miaka 59. Hii ni kitu gani sasa? 😟


Inaelekea wapi na kwa kasi gani?
Voyager 1 inasafiri kwa kasi ya kilomita 61,000 kwa saa. Kila saa inaenda mbali zaidi na zaidi kutoka kwa Jua letu. Inaelekea upande wa constellation ya Ophiuchus mbali angani.

Wanasayansi wanasema baada ya miaka 40,000 itapita karibu na nyota fulani huko mbali. Lkn hakuna mtu anajua itaishia wapi. Inaweza ikaendelea kusafiri milele, ikizunguka galaxy yetu, ikibeba ujumbe wa binadamu kwa siku zijazo.
Mwaka 2012 Voyager 1 ilifika kwenye interstellar space. Hii ni eneo gani ambalo binadamu hatujawahi kufikia. Ni nafasi kati ya nyota, nje kabisa ya solar system yetu. Ni chombo cha kwanza cha binadamu kuingia hapo.

View attachment 3556228
Picha ambayo itakushangaza kutoka Voyager 1.
Kuna kitu kimoja kingine ambacho kilinitia msisimko sana nilikuwa nafanya hii research. Mwaka 1990, mwanasayansi Carl Sagan aliomba NASA waondoe Voyager 1 igeuke nyuma ichukue picha ya Dunia. Yani spacecraft ilikuwa imekwenda mbali sana tayari, ilikuwa nje ya sayari zetu zote.

NASA wakafanya hivyo. Na picha iliyorudi ilikuwa ya kushangaza sana. Kutoka umbali wa billion miles 3.7, Dunia ilionekana kama pixel moja tu, kama vumbi kidogo kwenye ray of light. Carl Sagan aliita picha hii "Pale Blue Dot" nukta ya bluu iliyofifia.

Dah! akaandika maneno ambayo mpk leo yameniingia moyoni: "Look again at that dot. That's here. That's home. That's us. On it everyone you love, everyone you know, everyone you ever heard of, every human being who ever was, lived out their lives."

Hii picha ilibadilisha mtazamo wa watu wengi kuhusu umuhimu wetu hapa ulimwenguni. Tunadhani sisi ni wakubwa, tunajiona muhimu sana, lkn kutoka mbali kidogo tu sisi ni vumbi tu kwenye huu ulimwengu mkubwa.

View attachment 3556227
Nilichojifunza kwenye hii research.
Nilikaa nikafikiria sana kuhusu hii story ya Voyager 1, nikapata mshangao sana. Kwanza, wale wazee wa miaka ya 70s walikuwa na nidhamu na plan ambayo sisi leo hii tunaikosa kabisa. Walijenga kitu ambacho kitadumu vizazi.

Sisi leo tunajenga nini? Simu ambazo baada ya miaka miwili zinahitaji kubadilishwa. Magari ambayo baada ya miaka mitano yanakuwa outdated. Nyumba ambazo baada ya miaka kumi zinahitaji kurekebishwa. Lkn wao walijenga spacecraft ambayo bado inafanya kazi miaka 47 baadaye.

Pili, ancient technology si lazima iwe primitive. Yaani kitu cha zamani kinaweza kikawa bora kuliko cha leo kama kiliundwa vizuri. Voyager 1 ina technology ya miaka 47 iliyopita lkn bado inafanya kazi better kuliko satellites nyingi za leo ambazo zinazimika baada ya miaka michache.

Tatu, maono ni muhimu sana. Wale ma-engineer walipanga kitu ambacho kitasaidia vizazi ambavyo hawataviona. Walijua watoto wa watoto wao wataendelea kupokea data kutoka Voyager. Hiyo ndiyo maana ya kuthibitisha urithi wa kweli.

Changamoto tuliyonayo sisi
Mimi ni mpenzi sana teknojia, napenda kujua jinsi vitu vinavyofanya kazi. Lkn Aisee hii Voyager imenifundisha kitu tofauti kabisa. Hainitafundisha kuhusu ugumu, bali kuhusu uwepesi.

Dunia ya leo tunajifanya werevu sana sana. Tunaweka AI kila mahali, tunaweka features nyingi kwenye kila kitu. Tunaunda vitu vya complicated bila sababu. Lkn je tunaweza tukajenga kitu ambacho kitafanya kazi bila kusumbuliwa miaka 50? Suala kubwa sana.

Voyager 1 ilikuwa simple, ilikuwa na mission moja iliyonyooka, iliundwa kufanya kazi na kudumu. Na imefanya exactly hivyo kwa miaka 47. Hamna utani, hamna update kila wiki, hamna maintenance. Just pure performance ndio ina exist.

Hii ndiyo inanifanya nijiulize, sisi tunakwenda wapi na technology yetu ya sasa? Tunajifanya werevu lkn tunakosa basics ambazo ni muhimu. Tunajenga vitu ambavyo haviwezi kudumu. Tunakosa subira na usahihi.


Kwa wabongo wenzangu naomba msikilize
Hii story ya Voyager tuonaona kwamba tunaweza tukafanya mambo makubwa bila kuwa na teknolojia ya kisasa zaidi kama tunavyodhani. Tunaweza tukajenga, tukaunda, tukafanya kazi zenye quality bila shida.

Sio lazima mtu awe na computer ya hali ya juu. Sio lazima awe na vifaa vya kisasa sana.

Mimi nikikaa nikafikiria kuhusu hawa engineers(Wahandisi) wale wa NASA, ninawaheshimu sana sana. Hawakuwa na computer simulations nzuri kama ya leo. Hawakuwa hata na AI. Hawakuwa na GPT ya kuwaandikia code. Ilibidi kuhesabu kila kitu manually, kufanya tests nyingi, kufikiria scenarios zote zinazowezekana ili tu waje na product itakayo timiza maono yao.


Na walishinda. Waliunda kitu ambacho mpk leo kinafanya kazi perfectly bila shida yeyote, kinashinda hata technology mpya nyingi tu.

Namaliza hapa
Voyager 1 bado iko huko nje, inaendelea na safari yake ya milele. Kila siku inaenda mbali zaidi na zaidi, ikibeba ujumbe wetu, ikibeba matumaini yetu, ikibeba dhamira ya binadamu.

Na kila siku inatufundisha watu kwamba tunaweza tukafanya vitu vikubwa, vitu vya kudumu, vitu ambavyo vizazi vijavyo vitashukuru.

Mimi nimefanya research yangu, nimeelewa vizuri, na sasa nimejipa ahadi kuwa kila kitu nitakachofanya kitakuwa na quality. Sitaki tena kujenga vitu ambavyo baada ya muda mfupi ni kilio na vinahitaji kurekebishwa. Nataka kujenga vitu vya kudumu, kama Voyager.

Again I salute all you bosses, nimekaa sana kupiga huu uzi lkn naamini imekuwa worth it sana. Kama una maswali ama any additional tuwekee hapa chini, tutajadiliana.
Correction
Speed ya mwanga kwenye vaccum ni approximately 3×10^8 na sio 3×10^5.

KIngine voyager 1 inatumia radio frequency kutuma ujumbe wake kuja kwenye receiver za duniani . Radio frequency ipo katika range za electromagnet same as mwanga .

Hivyo speed yake kwenye vaccum of space pia no 3×10^8 ndiyo maana ujumbe unatumia muda mfupi . Kusafiri licha ya kuwa mbali na dunia.

Pia umeongelea kuhusu kizazi hichi kutengeneza bidhaa ambazo hazidumu mfano simu ambayo itakaa muda mfupi kabla ya kubadilishwa . Jibu ni corporate greedy ambayo inadivently imetengeneza kitu kinaitwa 'conspicuous consumerism'.

Why corporate greedy ? Makampuni mengi yapi kwa ajilo ya kutengeneza faida na si vinginevyo . Walitengeneza kitu ambacho kitadumu miaka 10 na kuendelea hii ita affect mapato yao pakubwa hivyo wanatengeneza vitu ambavyo havitodumu .

Conspicuos consumerism ni kitendo cha kununua bidhaa for status , licha ya bidhaa hiyo kuwa ya kutokudumu . Yaani unakimbizana na trend . So corporates wamewekeza hapo sana ili kupiga pesa nisingependa kuzama sana kwenye hii mada ila hope nimejibu baadhi ya maswali yako.

N.b
Kuhusu uwepo wa intelligence alien race out there ni swali ambalo kwa miaka mingi wanasayansi wamekuwa wakijiuliza na kuna wengi wamejaribu kutheorelize majibu kuhusiana na swali hilo .ila mengi ya majibu hayo yanatisha kuliko tunavyodhani .

Mfano mwanasayansi frank drake aliwahi kuja na drake equation ambayo ili estimate uwezekano wa kuwepo intelligence species on our universe on the range of 1000 to 100 million but the question is WHERE IS EVERYBODY?

Theory moja iliyonitisha kuhusiana na swali hilo la enrico fermi ni ile iliyoongelewa na engineer na mtunzi wa vitabu cixin liu , aliyoiita dark forest.

Dark forest inaongelea ulimwngu wetu kama msitu uliojaa wanyama wa kila aina mamilioni kwa mamilioni matarajio ni kwamba kutakuwa na kelele nyingi sana na za kila aina .

Ila imekuwa kinyume na matarajio , ilatokea umepita kwenye msitu huo basi hautosikia hata sauti ya kuhema ya kiumbe chochote kana kwamba kila mnyama anaogopa hata kutoa sauti kidogo ambayo itafanya wanyama wengine wakali zaidi kujua alipo na kwenda kumuangamiza.

Kiufupi ni kwamba ( arccoding to coxin liu) inawezekana ulimwengu wetu una very advanced civilizations wenye silaha za kuangamiza sayari nzima .ambao wakisema wawasiliane na sayari nyengine basi mawasiliano yao yatagunduliwa na species wengime wenye nguvu zaidi na hivyo kupelekea kufutwa kabisa .

Ishi ni kwamba sisi binadamu ndo kwanza tunapiga kelele kuonesha sayari yetu ilipo ( kosa kubwa) .

Huyu cixin liu ameandika novel 3 alizoziita remembrance of earth's past zinaelezea stori ya binadamu na dunia ka jicho la mwana historia wa future huko miaka bilions mbele .

Ni vitabu vizuri sna kwa science na space ensuthiasts .
 
Correction
Speed ya mwanga kwenye vaccum ni approximately 3×10^8 na sio 3×10^5.

KIngine voyager 1 inatumia radio frequency kutuma ujumbe wake kuja kwenye receiver za duniani . Radio frequency ipo katika range za electromagnet same as mwanga .

Hivyo speed yake kwenye vaccum of space pia no 3×10^8 ndiyo maana ujumbe unatumia muda mfupi . Kusafiri licha ya kuwa mbali na dunia.

Pia umeongelea kuhusu kizazi hichi kutengeneza bidhaa ambazo hazidumu mfano simu ambayo itakaa muda mfupi kabla ya kubadilishwa . Jibu ni corporate greedy ambayo inadivently imetengeneza kitu kinaitwa 'conspicuous consumerism'.

Why corporate greedy ? Makampuni mengi yapi kwa ajilo ya kutengeneza faida na si vinginevyo . Walitengeneza kitu ambacho kitadumu miaka 10 na kuendelea hii ita affect mapato yao pakubwa hivyo wanatengeneza vitu ambavyo havitodumu .

Conspicuos consumerism ni kitendo cha kununua bidhaa for status , licha ya bidhaa hiyo kuwa ya kutokudumu . Yaani unakimbizana na trend . So corporates wamewekeza hapo sana ili kupiga pesa nisingependa kuzama sana kwenye hii mada ila hope nimejibu baadhi ya maswali yako.
Sahihi boss 🤝
 
Back
Top Bottom