Vote Now!!

MYVoice

Member
Joined
Feb 27, 2016
Posts
21
Reaction score
5
Ikitokea nafasi ya kugombea uraisi kati ya Jpm na Jk kura yako Tampa nani??? Vote now!!
 
Bila shaka ni jk sababu tumemmiss sana.
 
Ikitokea nafasi ya kugombea uraisi kati ya Jpm na Jk kura yako Tampa nani??? Vote now!!
Acha unafiki muda wake umeshapita kwa sasa Rais ni J .P .Magufuli kiboko ya mafisadi na malanguzi na mivivu yote ya kiakili na kimwili fanyeni kazi na asiyefanya kazi na asile Hata kwenye Biblia Takatifu imeandikwa .
 
JPM, tena ntahakikisha nachakachua mpaka ashinde kwa kishindo kikuu
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
Ni bora nisipige kura kuliko kumpigia mtu ambaye yupo chama tawala kwa sasa
[HASHTAG]#freeMaxenceMelo[/HASHTAG].
 
Kazi ziko wapi?

Acha unafiki muda wake umeshapita kwa sasa Rais ni J .P .Magufuli kiboko ya mafisadi na malanguzi na mivivu yote ya kiakili na kimwili fanyeni kazi na asiyefanya kazi na asile Hata kwenye Biblia Takatifu imeandikwa .
 
Acha unafiki muda wake umeshapita kwa sasa Rais ni J .P .Magufuli kiboko ya mafisadi na malanguzi na mivivu yote ya kiakili na kimwili fanyeni kazi na asiyefanya kazi na asile Hata kwenye Biblia Takatifu imeandikwa .
kweli kabisa kibiko ya lugumi na meli yetu chakavu
 
Acha unafiki muda wake umeshapita kwa sasa Rais ni J .P .Magufuli kiboko ya mafisadi na malanguzi na mivivu yote ya kiakili na kimwili fanyeni kazi na asiyefanya kazi na asile Hata kwenye Biblia Takatifu imeandikwa .
Well received to everyone. ...stay well
 
[HASHTAG]#BringbackourBenalive[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…