siemens c25
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 217
- 44
jamaa alikuwa safarini kikazi akafikia guest sikuiyo alijiona mnyonge akaamua kumuuliza muudumu m1 wa kiume kuwa anashida na demu muudumu akamwambia mademu wapo ila sisi tunawatambua kwa majina ya magari jamaa akasema sasi niitia benz muudumu akasema limetoka sasaivi"ila limebaki vorkswagon tu nikuitie!jamaa akasea niitie tu nipo chumba no13 jamaa akaenda chumbani daada ya muda akagongewa na aliingia mwanaume shoga jamaa akamaind sana akamfata muuduma na kumuliza kwanini umeniletea shoga muudumu akamwambia iyo ndo vorkswagoni coz injini yake ipo nyuma.