johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Kampuni ya simu ya Vodacom imetoa mchango wa shilingi bilioni 2 kusaidia mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya, Ummy Mwalimu
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?
Mchango huo amekabidhiwa waziri wa afya, Ummy Mwalimu
My take; mbona hatuioni michango ya vyama vya siasa kwa mfano Chadema?