Vodacom wezi sana!!!!

Vodacom wezi sana!!!!

CABANA

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2013
Posts
422
Reaction score
557
Habari zenu!!! hawa voda baada ya kuweka cheka ya 1000 yaana *147*1000` wakaniletea sms kwamba nimepewa kifurushi cha internet bila kikomo masaa 24. nami bila hiana nikaanza kukikamua. Kumbe lilikuwa ni boya basi pesa yote kwenye simu imekwisha na kilichobaki ni sms 1000000 yaani 1mil, na kupiga voda to voda sec 3000. sasa mimi sizielewi huduma hizi, OVYO KABISA...WAJIFUNZE KUWA WAAMINIFU.:disapointed:
 
Habari zenu!!! hawa voda baada ya kuweka cheka ya 1000 yaana *147*1000` wakaniletea sms kwamba nimepewa kifurushi cha internet bila kikomo masaa 24. nami bila hiana nikaanza kukikamua. Kumbe lilikuwa ni boya basi pesa yote kwenye simu imekwisha na kilichobaki ni sms 1000000 yaani 1mil, na kupiga voda to voda sec 3000. sasa mimi sizielewi huduma hizi, OVYO KABISA...WAJIFUNZE KUWA WAAMINIFU.:disapointed:

Amia airtel
 
Hahahahah. . . . . . . . .ahahahahaha. . . . . . . .hahaahahah. . . . . . . .nimecheka sana mkuu, utafikiri nakuona vile unavyoandika kwa hisia zote! Pole sana ndg yangu!
 
Amia airtel

Sijui wengine walipitia wapi shule. Yaani Hamia inakuwa "amia" hebu tujifunze kuongea na kuandika kiswahili sahihi. Hadi inakera utasikia ela badala ya hela, akuna badala ya hakuna, etc sijui kwa kweli vilianzia wapi. Hiki kizazi kinataka kuharibu kabisa lugha.
 
Sijui wengine walipitia wapi shule. Yaani Hamia inakuwa "amia" hebu tujifunze kuongea na kuandika kiswahili sahihi. Hadi inakera utasikia ela badala ya hela, akuna badala ya hakuna, etc sijui kwa kweli vilianzia wapi. Hiki kizazi kinataka kuharibu kabisa lugha.

Kuna majukwaa ya kutafuta mabwana kule love connect hapa umepotea njia.

Fistura inatibika wahi tiba haraka una dalili zote.
 
Kuna majukwaa ya kutafuta mabwana kule love connect hapa umepotea njia.

Fistura inatibika wahi tiba haraka una dalili zote.

ha ha ha ha ha a ha ha ha ha ha ha hhaah ha ha umenichekesha kufa
 
Mimi walikuwa wanakata hela bila maelezo nikiwapigia wananiambia tumerekebisha baadaye tatizo linarudia,nikaona isiwe tabu,nikachomoa line nikaweka kwenye walet then nikahamia Airtel,nina mwezi wa tatu sasa raha mustarehe...! Achana na mitandao ya kina ROSTAM....AIRTEL YATOSHA
 
Sijui wengine walipitia wapi shule. Yaani Hamia inakuwa "amia" hebu tujifunze kuongea na kuandika kiswahili sahihi. Hadi inakera utasikia ela badala ya hela, akuna badala ya hakuna, etc sijui kwa kweli vilianzia wapi. Hiki kizazi kinataka kuharibu kabisa lugha.

Ni janga la Taifa Nambari Nane!
 
Back
Top Bottom