Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Ila kweli aisee, hili dude halotel lina mkono wa mkwere. Haliwezi hujumiwa na voda ya Rostam ambaye kwa sasa kupitia kwa Lowasa nadhani urafiki umeisha.Hawawezi kuhujumiwa si unajua Mkubwa ana hisa Halotel,ule ugeni wa hivi karibuni toka Vietnam ulibeba ujumbe mujarabu.