Vodacom, Tigo na Tala ifike wakati tuheshimiane

The CIA

JF-Expert Member
May 5, 2017
479
478
Habari wana Jamiiforums, kwanza ya yote napenda kuwapongeza kwa kuufikia mwaka 2019, uwe wa amani na mafanikio makubwa kwetu sote.

Nirudi kwenye maada moja kwa moja, Mada yangu nikuhusu tangazo la Tala lilolosemekana ni la kampuni ya VODACOM Tanzania na Tigo Tanzania

Tangazo hilo sasa limekuwa likitufanya tusumbuke sana na kufanya tunapotumia internet kwa kitumia simu za kiganjani iwe kero na kushindwa kufanya unachokifanya kwa muda husika,

Kwa kifupi limekuwa kero kwa watanzania tunaotumia simu za viganjani tukishaziunganisha na internet.

VODACOM na TIGO kama tangazo hilo ni lenu nawaomba mtumie magazeti, redio na tv kulitangaza ama njia nyingine mbadala isiyotucost sisi watumiaji wa simu, kwetu limekuwa na negative externalities,

Tunashindwa kufanya mambo yetu kwa wakati na kwa raha, ikiwemo kusoma au kuandika chochote kwenye simu za kiganjani,

Tunaomba mtambue kuwa matumizi ya internet kwenye simu yetu ni ya muhimu zaidi kuliko tangazo lenu linalozuia tusiendelee na tunachofanya,

Kutoa claim hii pia Tala mmenidisturbo sana kuliko kawaida.

Mamlaka husika TCRA iliangalie hili, watanzania tumechoka kuteswa na matangazo ya kutulazimisha tusome bila idhini yetu huku yakifunika kabisa sisi tunachokihitaji.

Niusumbufu na watanzania tumechoka kuteswa na hilo tangazo.

Kama siyo la Vodacom na Tigo kama linavyojieleza TCRA tunawaomba mlifanyie kazi haraka na mlifutilie mbali, tumelichoka kweli kweli.

Asanteni sana.

Heri ya mwaka mpya 2019.

Screenshot_2019-01-05-08-32-06.png
Screenshot_2019-01-05-09-01-10.png
 
Habari wana Jamiiforums, kwanza ya yote napenda kuwapongeza kwa kuufikia mwaka 2019, uwe wa amani na mafanikio makubwa kwetu sote.

Nirudi kwenye maada moja kwa moja, Mada yangu nikuhusu tangazo la Tala lilolosemekana ni la kampuni ya VODACOM Tanzania na Tigo Tanzania

Tangazo hilo sasa limekuwa likitufanya tusumbuke sana na kufanya tunapotumia internet kwa kitumia simu za kiganjani iwe kero na kushindwa kufanya unachokifanya kwa muda husika,

Kwa kifupi limekuwa kero kwa watanzania tunaotumia simu za viganjani tukishaziunganisha na internet.

VODACOM na TIGO kama tangazo hilo ni lenu nawaomba mtumie magazeti, redio na tv kulitangaza ama njia nyingine mbadala isiyotucost sisi watumiaji wa simu, kwetu limekuwa na negative externalities,

Tunashindwa kufanya mambo yetu kwa wakati na kwa raha, ikiwemo kusoma au kuandika chochote kwenye simu za kiganjani,

Tunaomba mtambue kuwa matumizi ya internet kwenye simu yetu ni ya muhimu zaidi kuliko tangazo lenu linalozuia tusiendelee na tunachofanya,

Kutoa claim hii pia Tala mmenidisturbo sana kuliko kawaida.

Mamlaka husika TCRA iliangalie hili, watanzania tumechoka kuteswa na matangazo ya kutulazimisha tusome bila idhini yetu huku yakifunika kabisa sisi tunachokihitaji.

Niusumbufu na watanzania tumechoka kuteswa na hilo tangazo.

Kama siyo la Vodacom na Tigo kama linavyojieleza TCRA tunawaomba mlifanyie kazi haraka na mlifutilie mbali, tumelichoka kweli kweli.

Asanteni sana.

Heri ya mwaka mpya 2019.


Zima simu kwa muda wa siku mbili, ukiwashavtatizo litakuwa limeo doka.....
 
ukijumlisha na wereva yako simu inakuwa nzito kama mche wa kutwangia mahindi
Wanaboa sana kwa kweli

Mi nilijua tatizo ni hii tecno ninayotumia kumbe tatizo ni mitandao

Hata hivyo nimeapa sitotumia tena simu aina ya tecno zinaushenzi mwingi

Tala wanaboa kuna wakati nazima bando kwa ajili ya usumbufu wao

Kila file unalofungua lzm kwanza wakuoneshe ujinga wao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida sana mkuu yani nikiwasha simu hadi inakuwa vurugu mechi utafikiri simu yangu ishakuwa ITV

Kuna saa tangazo linaganda linanilazimisha kudownload app.. Hii hunipelekea nizime simu niendelee na ratiba zingine

Yani hata ukitaka kusoma sms za kawaida lazima wakubandike tangazo kabla hujafungua kuna siku kidogo nipigize simu kwa kero zao

Hao Tala & the Co acheni usumbufu pelekeni matangazo kwenye tv mnatuboa mimi hata nikiwakopa sitawalipa wacheni kujiangaisha
ukijumlisha na wereva yako simu inakuwa nzito kama mche wa kutwangia mahindi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajiita CIA alafu unashindwa kuelewa jinsi hivyo vitu vinavyofanya kazi???

Sasa sikia hilo sio tatizo la voda na tigo na wala TCRA hawawezi fanya lolote katika hilo...

Hiyo ni biashara, TALA wamelipa Google adsense na ads company nyinginezo ili watangaziwe biashara zao, ads company wamewapa matangazo wenye apps, website na youtube channels ndipo unaona hayo matangazo...

CHAKUFANYA...

Acha kuweka apps za bure kwenye simu yako, au zile zisizo na msingi basi ziunstall...
Najua zipo zinazokuja na simu za tecno kama boomplay.. ukitaka kuzitoa hizo basi fanya rooting.

NB: Usilalame sana, unataka apps na habari upate bure!? Hao Publishers unataka wakale wapi...
Muda si mrefu utaanza kulaumu pia ads za Jf!!
 
Habari wana Jamiiforums, kwanza ya yote napenda kuwapongeza kwa kuufikia mwaka 2019, uwe wa amani na mafanikio makubwa kwetu sote.

Nirudi kwenye maada moja kwa moja, Mada yangu nikuhusu tangazo la Tala lilolosemekana ni la kampuni ya VODACOM Tanzania na Tigo Tanzania

Tangazo hilo sasa limekuwa likitufanya tusumbuke sana na kufanya tunapotumia internet kwa kitumia simu za kiganjani iwe kero na kushindwa kufanya unachokifanya kwa muda husika,

Kwa kifupi limekuwa kero kwa watanzania tunaotumia simu za viganjani tukishaziunganisha na internet.

VODACOM na TIGO kama tangazo hilo ni lenu nawaomba mtumie magazeti, redio na tv kulitangaza ama njia nyingine mbadala isiyotucost sisi watumiaji wa simu, kwetu limekuwa na negative externalities,

Tunashindwa kufanya mambo yetu kwa wakati na kwa raha, ikiwemo kusoma au kuandika chochote kwenye simu za kiganjani,

Tunaomba mtambue kuwa matumizi ya internet kwenye simu yetu ni ya muhimu zaidi kuliko tangazo lenu linalozuia tusiendelee na tunachofanya,

Kutoa claim hii pia Tala mmenidisturbo sana kuliko kawaida.

Mamlaka husika TCRA iliangalie hili, watanzania tumechoka kuteswa na matangazo ya kutulazimisha tusome bila idhini yetu huku yakifunika kabisa sisi tunachokihitaji.

Niusumbufu na watanzania tumechoka kuteswa na hilo tangazo.

Kama siyo la Vodacom na Tigo kama linavyojieleza TCRA tunawaomba mlifanyie kazi haraka na mlifutilie mbali, tumelichoka kweli kweli.

Asanteni sana.

Heri ya mwaka mpya 2019.
Vodacom na tigo wanahusikaje hapo mkuu. Za kuambiwa changanya kidogo na zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom