tekategula
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 171
- 97
Hiyo 4g inapatikanaje mkuu,tusaidiane make mimi natumia WIWA X1 network inaniandikia E basi nimejaribu kuwapigia wakanitumia hadi settings upya lakini wapi naomba msaada kwako mkuu kama hutojalimbona vodacom wapo vizuri mm nadhani ninyi i wale wa aina fulani wa dr digital ambao mmeandika 4g ktk line zenu harafu mnawandanganya watu acheni unafiki vodacome 4g is best for internet in tanzania