Vodacom Plc kupitia Mpesa mmeamua kuwaibia wakala wa Mpesa kwa kuwachaji hela wanapohamishiana flot?

Babe la mji

JF-Expert Member
Dec 14, 2019
983
2,053
Hii Huduma mwanzoni ilikua ni bure na kwenye miongizo yao inaonyesha ni Free lakini kuanzia juzi wakala akimtumia wakala mwenzake flot wanakata hela yake ambayo ni mtaji.

Kwa mfano laki moja wanakata elfu moja, sasa huu ni wizi mkubwa na ni utapeli.

Inabidi mshitakiwe kwa huu wizi na kama Hali ikiendelea hivi basi kampuni yenu itakufa.

Inakuaje ukate mtaji wa wakala wakati kwenye sheria yenu haipo?

Vodacom acheni huu upumbavu wa kuibia mawakala wakati hata malipo yenu kwao ni kama wanawanufaisha tu nyinyi lakini hamuliziki mmeamua tena kuwaibia mitaji yao. Mnachokifanya ni zaidi ya upumbavu na ni utapeli.

Kwa upande wangu mwaka jana nilifunga til mbili za mpesa baada ya kuona uchumi umeingiliwa na wanasiasa kwa kupandisha gharama za kutuma pesa na kutoa pesa nikabakiwa na lain moja lakini kama Hali ndo hii mwezi huu naifunga.
 
Mawakala wakuu wamelalamika hawapati mtonyo 😊 Bora wangefanya kama halopesa , chini ya 50000 ndo wanakata buku jero
 
Mawakala wakuu wamelalamika hawapati mtonyo 😊 Bora wangefanya kama halopesa , chini ya 50000 ndo wanakata buku jero
Sidhani kama Voda wanaweza wakafanya hivyo ili kuwalinda mawakala wakuu; wakala kwa wakala kuhamishiana float ilikuwa inarahisha transactions na kumbuka wakala mkuu alikuwa anakula commission toka kila wakala wake akifanya miamala...

Personally nahisi (sina uhakika) huenda wanajaribu kuziba loophole ya fraud baada ya Tozo kuwa kubwa watu walikuwa badala ya kutoa pesa kwa wakala transaction inafanyika baina ya wakala na wakala kama float exchange alafu mteja anapewa cha kwake hence voda kukosa makusanyo; ingawa hii nadhani wangeweza kuangalia minara kama float imehama minala ya mbali ndio wakate lakini sio kama transaction ni within mnara mmoja
 
Hii Huduma mwanzoni ilikua ni bure na kwenye miongizo yao inaonyesha ni Free lakini kuanzia juzi wakala akimtumia wakala mwenzake flot wanakata hela yake ambayo ni mtaji.

Kwa mfano laki moja wanakata elfu moja, sasa huu ni wizi mkubwa na ni utapeli.

Inabidi mshitakiwe kwa huu wizi na kama Hali ikiendelea hivi basi kampuni yenu itakufa.

Inakuaje ukate mtaji wa wakala wakati kwenye sheria yenu haipo?

Vodacom acheni huu upumbavu wa kuibia mawakala wakati hata malipo yenu kwao ni kama wanawanufaisha tu nyinyi lakini hamuliziki mmeamua tena kuwaibia mitaji yao. Mnachokifanya ni zaidi ya upumbavu na ni utapeli.

Kwa upande wangu mwaka jana nilifunga til mbili za mpesa baada ya kuona uchumi umeingiliwa na wanasiasa kwa kupandisha gharama za kutuma pesa na kutoa pesa nikabakiwa na lain moja lakini kama Hali ndo hii mwezi huu naifunga.
Naona anguko kubwa la vodacom linakuja.
 
Back
Top Bottom