Voda sio mtandao wa kutumia,Nilikuwa nikiweka salio baada ya kununua kifurushi pesa inayobaki siikuti, nikipiga simu napewa majibu yasiyoeleweka,nikaona isiwe tabu nikahama kabisa,sasa nina miezi mitano sijaweka line ya voda..... Makampuni ya kifisadi haya yatatumaliza Watanzania tushtuke...!