mimi nina wiki sasa.sio voda tu ata tigo wanatatizo iloNi tangu asubuhi kila nikitaka kuongeza salio simu haitaki. nataka kupiga simu za muhimu lakini huduma yao ya kuchukua hela yangu haikubali kabisaa. Nauliza wana JF hivi na nyie mnapata tatizo kama hilo au ni kwangu tu.
Sijajua kama ni maeneo nilipo tu au hata kwingine,niko Dodoma lakini tangu nimefika hapa wiki ya tatu voda ukipigiwa unaongea dakika moja au mbili baada ya hapo unaanza kusikia sauti za chupa zikivunjwa mpaka nimeamua kuhama mtandao.
Sijajua kama ni maeneo nilipo tu au hata kwingine,niko Dodoma lakini tangu nimefika hapa wiki ya tatu voda ukipigiwa unaongea dakika moja au mbili baada ya hapo unaanza kusikia sauti za chupa zikivunjwa mpaka nimeamua kuhama mtandao.
he vyupa tena?
Kuna style nyingine unampigia mtu, simu yako inaonyesha amepokea na dakika zinaenda ila mpokeaji humsikii. Na hata ukiwasiliana nae baadae atakwambia hajaona miised call yako wala hajapokea simu yako, imetokea kwa watu kadhaa zaidi ya mara moja.
Mbona huduma ikiwa mbovu vigezo na masharti havizingatiwi?
he vyupa tena?
Aah kumbe nyie siku moja si week ni jambo la kawaida internet ndo usiseme mwezi unaweza kupita hata ukiwapo speed mh(sijui edge bila shaka)Ni tangu asubuhi kila nikitaka kuongeza salio simu haitaki. nataka kupiga simu za muhimu lakini huduma yao ya kuchukua hela yangu haikubali kabisaa. Nauliza wana JF hivi na nyie mnapata tatizo kama hilo au ni kwangu tu.