Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,502
- 911,252
Vodacom Miss Morogoro wa mwaka 2011, Asha Salehe( kati kati) akiwa na mshindi wa pili, Ritha Kavishe (kulia) pamoja na mshindi wa tatu, Sharrifa Issa ( kushoto), warembo 15 walishiriki katika shindano hilo kwa mwaka huu.