Vodacom miss morogoro 2011

Vodacom miss morogoro 2011

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,502
Reaction score
911,252
washindiwamissmoro-1.jpg

Vodacom Miss Morogoro wa mwaka 2011, Asha Salehe( kati kati) akiwa na mshindi wa pili, Ritha Kavishe (kulia) pamoja na mshindi wa tatu, Sharrifa Issa ( kushoto), warembo 15 walishiriki katika shindano hilo kwa mwaka huu.
 
Mimi ni hilo paja tu limeniacha pabaya....................Mmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
tanobora.jpg

Warembo walioshinda hatua ya tano bora kwenye kinyang'anyiro cha mkusaka Vodacom Miss Morogoro 2011 wakiwa katika picha ya pamoja , Julai Mosi ,mwaka huu.
 
warembo15.jpg

Warembo wa Kinyang'anyiro cha Vodacom Miss Morogoro, 2011 wakiwa katika picha ya pamoja baaada ya kupita mbele ya watazamaji wakiwa na vazi la ubunifu.
 
majajiwamissmoro.jpg

Baadhi ya Majaji wa shindano la Vodacom Miss Morogoro 2011 ,walifuatilia kwa makini miondoko ya warembo wa shindano hilo, ( hawapo pichani),julai mosi mwaka huu kwa ajili ya kuweza kutoa alama kwa kila washiriki.Picha na John Nditi – Globu ya Jamii,Morogoro.
 
swali langu mara nyingi huwa hiviv igezo vya kuwapata hawa majaji ni nani anavifahamu??????????????????????? Maana hawa majaji waweza kuchakachua matokeo na kumdhulumu mrembo mstahiki........
 
Hao majaji wenyewe mbona kama hao wanao wajaji ni kama kila mtu kawekeza pesa humo maana naona wote pressure juu
 
hivi hili jukwaa halina picha zingine zaidi ya mamisi?
 
Back
Top Bottom