Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 252
- 145
- Thread starter
- #21
Mtandao walishaurudisha kimya kimya tu, hawajaomba hata radhi. Waswahili sana hawa!
Mkuu siyo jana tu, VODACOM wana tatizo almost wiki mbili au zaidi.
Mimi sijawahi kubadili namaba ya simu yangu for almost 10 yrs na sasa naona madudu
Naamini TCRA wata fuatilia tatizo hili maana baada tu ya kupunguza gharama za connection kati ya makampuni ya simu ndiyo haya matatizo yamekithiri.
- ukipiga simu hai-connect
- ukipiga simu unasikia sauti yako mwenyewe-its crazy!!!
- simu ikisha connect in jam na kukata mawasiliano
- wakati mwingine kuna muungurumo kwenye mawasiliano
- ukikata simu haikatiki na inaendelea kukata senti
Toka usiku hakuna mtandao, nikafikiri ni simu yangu tu. Lakini asubuhi nikacheki na simu ya wife nayo pia haina mtandao. Kuna tatizo gani huu mtandao wa Vodacom? Je wenzetu hapa Dar mnapata mtandao?
Si kweli mkuu, mimi nina Iphone 4s, simi kisasa kabisa na madudu haya ya VODACOM yanatesa.Masimu ya kichina nayo ni tatizo wakati fulani!!!!any way, pole mkuu.
Hamieni Tigo...smile your with tigo