Vodacom dsm network imekata. Kuna nini tena? yaani no mawasiliano at all! Au ni ule muendelezo wao wa kubug kwenye vifurushi maana nyie ni kama moto wa vifuu!
Vodacom dsm network imekata. Kuna nini tena? yaani no mawasiliano at all! Au ni ule muendelezo wao wa kubug kwenye vifurushi maana nyie ni kama moto wa vifuu!
There is a countrywide Vodacom network outage since 09h32. CDN team are trying to work on service restoration, All service has been affected inclusive NetAct & SWA.
Ndo message ya vodacom hiyo wametutumia hapa ofisini kwetu kibanda cha kuuza vocha karibu na matakomatako bar
Vodacom dsm network imekata. Kuna nini tena? yaani no mawasiliano at all! Au ni ule muendelezo wao wa kubug kwenye vifurushi maana nyie ni kama moto wa vifuu!
Iwe huduma ya Cheka Bombastiki, M-PESA, kuuliza salio, kupiga/kupokea simu na kutuma ujumbe mfupi vyote valu valu tu.... Naona hawa jamaa wameanza kupoteza mwelekeo. Nao wanataka kuwa kama 0741?