tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,249
- 4,483
HahahahA mbumbumbuMbona jumbe zao za kwenye simu nyingi zinaeleza kuhusu tuzo point?
Redio,mitandao na tv zinaongelea tuzo points kila siku?
Usipojishughulisha kujua jambo utabaki mosquito mosquito mosquito(MBUMBUMBU)
*149* 01#Mimi nielewesheni wadau ni namna gani nigeuze tuzo point kuwa faida?
Mbona hazina shida? Jiongeze utazielewa tuMimi nielewesheni wadau ni namna gani nigeuze tuzo point kuwa faida?
Asante sana ndugu*149* 01#
Chagua namba 10 tuzo,
Chagua tuzo point kisha chagua Vuna point zako.
Kwakweliii inatia hasira ...mapoint kibaaaaao ukivuna sasa unaweza kuwarudishia uchuro waoMe 21800 nilizibadili kuwa mpesa nikapata 1420 yaani thamani yake ni sawa na sufuri
wengi hawajui kuwa TUZO point inalipa, unazi redeem to m pesa or airtimehazina shida yoyote unaweza kuzihamishia kwenye akaunti ya Mpesa,au kununulia kifurushi cha maongezi,nimeshanufaika nazo mara nyingi hazina shida.
Alafu ulitakiwa ufungue uzi wako uelezee,sio kuvamia nyuzi za watu za TUZO.HUENDA WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA
Hapo ndio hoja ya mleta mada inaposimamaMe 21800 nilizibadili kuwa mpesa nikapata 1420 yaani thamani yake ni sawa na sufuri
Udhia mtupu! Usumbufu tu, point zenyewe thamani yake negligibleMe 21800 nilizibadili kuwa mpesa nikapata 1420 yaani thamani yake ni sawa na sufuri
Mimeseji ya tuzo points yanamiminika kama mvua za elnino ajab thamani yake haifiki hata tone moja la mvuaUdhia mtupu! Usumbufu tu, point zenyewe thamani yake negligible
Mimi nielewesheni wadau ni namna gani nigeuze tuzo point kuwa faida?