Vodacom hizi promotion za TUZO POINTS kama UHUNI

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,249
4,481
Kawaulize watu 10 kuhusiana na TUZO POINTS. Mmoja tu atakuambia TUZO POINTS ni kitu gani na kama zinamnufaisha. Promotion gani wateja wenu hawaifahamu? Promotion huwa haihitaji mtu kwenda DARASANI kuielewa.
 
Labda wewe tu mtoa mada mbona promotion ya tuzo point inaeleweka vizuri tu
 
hazina shida yoyote unaweza kuzihamishia kwenye akaunti ya Mpesa,au kununulia kifurushi cha maongezi,nimeshanufaika nazo mara nyingi hazina shida.
 
hazina shida yoyote unaweza kuzihamishia kwenye akaunti ya Mpesa,au kununulia kifurushi cha maongezi,nimeshanufaika nazo mara nyingi hazina shida.
wengi hawajui kuwa TUZO point inalipa, unazi redeem to m pesa or airtime
 
Mimi wanaonikera ni Tigo tu,ikiingia msg yao ukitoa simu ukii-delete ukiirudisha mfukoni unasikia nyengine imeingia kuna wakati mpaka nachoka nashindwa kuzisoma najikuta nimepitwa na mambo mengine kwa kudhani kuwa sms zote ni zao.

Niliwapigia wanitoe kwenye huu ujinga wao wakanipa nusu saa ila leo wiki ya tatu bado zinakuja mfululizo.
 
HUENDA WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA
Alafu ulitakiwa ufungue uzi wako uelezee,sio kuvamia nyuzi za watu za TUZO.

Kusajili kampuni bei zenu zikoje??
 
Back
Top Bottom