Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,840
- 2,425
tumia tigo wana huruma ila net kukatakata uzoee
Kwa hio ukaniambia nije TIGO?Halotel ndo walewale, Ila kidogo kwangu TIGO bundle lake haliwahi kukata, kwangu kidogo wamejitahidi
Yes haliiishi ng'o na bonus MB napewa km mda wa kuisha haujafika let say bando namaliza saa 4 ila saa 3 nikapata ile meseji umemaliza MB zako pale wananiachia natumia bure hadi 4 mda niliojiunga bando kisha hapo wanafunga hadi nijiunge tena kwa hio kwa mwezi natumia almost 15,000 kwa bando tu 500 daily na ditumii zaidi ya MB 200 kwa siku yaan sivushi sina matumizi makubwa daily naishia 150 au 170 mda unakua umeisha naunga tenaKwaiyo we halotel unanunua za siku tu sio mkuu 🤔 za jero jero 😁
Mambo ya kukatakata hayo ndio siyataki Mimi sasatumia tigo wana huruma ila net kukatakata uzoee
Ndiyo nini sasa technician ??mbona me sjakuelewa?Mm nitaenda technical zaidI.
1.km unatumia laptop/ipad disabled auto update. .km ni cm the same.
2.fuatilia bundle lako muda wakuisha...hawajalishi limeisha au la muda ukifika wanakata iliurudi kuchumwa hela ..hii nimitandao yote.
3.all videos nahasa downloads inatumia sn data kuliko kusoma habari.
NB
Kwa upuuzi wangu wakutumia data TZ,voda wapo vzr sn kwenye datakuliko most companies ilawapo ghali,airtel voice ndio wapo vzr,tigo muda wwt wanadondosha network,mara 2 nimekosa mishe mjini sababu yao
Jiunge SME ya airtel hiyo elfu 30 unapata GB 35 kwa mwezi.Kweli kabisa bundle la Vodacom kwa siku za hivi karibuni wanaiba sana , Mimi huwa nanua bundle la mwezi Elfu 35 napata GB 17 na Mb kadhaaa lakini wiki halifiki akati zaman lilikuwa linamaliza matumizi Yale Yale simu Ile Ile .