We jamaa ni mkali, nakumbuka nimekusumbua sana katika kuniwezesha niweze chakachua modem hii ya voda,kila ukinisaidia nilichemka labda kutokana na uslow-learner wangu ama machine ninayotumia but this time you got me!yaani kilichokua kinanikimbiza ni gharama zao sasa ni bata na naomba wa-stay mute wasistuke. Thanks mkuu
Siyo lazima kuchomoa line. Inategema kwenye pc yako una programs zipi? Mfano mimi nina dashboard ya airtel modem, nikitumia modem ya airtel ambayo nimeifanyia temporary unlock na ndani kuna line ya voda au tigo basi naweza kuangalia salio,kuongeza salio,kuanglia bundle balance etc bila zengwe.
You can also do the same using installed default vodacom modem dashboard.
Haha!Niliunga line 8(za nyumba nzima)!Si tunajua michezo yao hao wakishtukia inabuma,sasa ni mwendo wa BATA tu!
Thanks to E2themiza...nazishusha tu movie series za mediafire dose ya 8x2!
What goes around...
Never mkuu
dashboard inaweza kukudanganya kwa kusoma hivyo lakini downloading haiwezi kufika hata 1MBps
Download chochote kisha chukua picha kwenye downloader ubandike hapa niwe Tomaso
Aisee nimeikosa hii deal, but shukrani mkuu kwa kushare hii kitu kwa wadau, ila wadau waJF ni wachoyo wa LIKE sana , me nimekumwagia like japo nimechelewa kuigundua hii kitu