kama una mashaka kama labda watakata salio lako then subiri nikuondoea shaka hawatakata ata centi... kama bado una doubt jaribu kutumia line ya voda ambayo hauitumiii.. thnx
Nilifikiri mie tu, mie nasikia training sijui ya kuongeza traffic kwenye website sasa sijui vinahusiana vipi hapa??
Mara sijui from 0 to 500,000 people visiting ur website, mara something unique, yaani sielewi hata huyu jamaa ndio akimaliza kuongea ata connect au ni nini hii......????