Vodacom acheni 'ujambazi'

Vodacom acheni 'ujambazi'

basi jana jioni nimejiwekea kavocha kangu mwenyewe ili nijiunge uhuru internet. lahaula!! nkakuta wamebadilisha menyu. washenzi wakubwa NIMELAANI Sana hiki kitendo vodacom.
 
Halafu nina hasira, hapa nlipo nkikutana na mtu kavaa tisheti ya voda ntamtafuna.
 
dah, wameniharibia sana. nilikuwa nikiweka buku najua uhakika wa net 24hrs. tigob vipi internet yao? naona wana unlimited kwa 999.
 
Yaani kifurushi kapandish kwa 50% yaani kutoka
Tsh.1,000/= mpaka Tsh.1,500/= , na mbaya zaidi
sio ulimited bundle but simply 1GB bundle.
nyie vodacom ni jipu linalohitaji kutumbuliwa pwaaa.....

Usilalamike sana, wanajua sasa wataanza kulipa kodi baada ya Magu Kuwatolea macho wakwepa kodi.
 
Last edited by a moderator:
Mh waziri mkuu tunakuomba uingilie kati hili swala la upandishwaji ovyo huduma za internet kwa haya makampuni ya simu hapa nchi. Gharama ni kubwa sana na zinapanda bila taarifa naamini kabsa uwekezaji mkubwa uliofanywa nchi kwenye sector hii ya mawasiliano ulikuwa unalengo la kupunguza gharama lakini gharama zinapanda tu.
 
Karibuni Halotel

::mvutaji:
Kwa gharama za vifurushi vya Halotel na pia speed wana nafuu zaidi. Tatizo lao hawa Halotel ni upatikanaji wa vocha na wasipolifanyia kazi jambo hili basi litakuja kuwagharimu sana.
 
Kwasasa nimeamia halotel na nimeahidi nitakuwa mvulivu kwa mtandao wa halotel ili voda waone umuhimu wangu
Na kabla sijahama mtandao wa voda niliwapigia simu nikawambia voda nawapenda sana lakini kwanini hamtabiliki?
Nikaona wananijibu kama wavuta bangi nikaamua kuachana nao nikahamia kwa mtandao ambao wako siliasi na kazi.
 
Voda bye bye
Wazinguaji sana na ukiwaambia ukweli wanak?taa wakati sisi ndio tunaojua chema na kibaya
 
Back
Top Bottom