Matusi yangeruhusiwa mazito yote yangewahusu...sokolovest.
Na mimi nimeshangaa sana nimekuta kifurushi cha Uhuru inteneti hakipo
Hii yote ni kwa sababu ya magufuli. Mnakuja kuchagua watu wa ovyo mkamwacha lowassa. Mtaisoma namba sasa!
Njooni airtel mbona mnakuwa watumwa wa mtandao mmoja hivyo....
Airtel speed yao ya internet ovyo.
Njoenii halotel jamn ckhz kuna compitition ya mitandaoo
Hakika nyinyi ni Jipu ! Mnakatia katia viuono vifurushi hovyohovyo...
Mpaka sasa tangu asubuh nimetumita 4000 na hakuna cha maana nlichofanya.
Acheni ujambazi.
Rejesheni Uhuru Internet bundle. Nianeandika kwa hasira kubwa.
Hii yote ni kwa sababu ya magufuli. Mnakuja kuchagua watu wa ovyo mkamwacha lowassa. Mtaisoma namba sasa!