Wakuu najaribu kuweka vocha airtel mbona zinakataa? Ni mimi tu au? Kila nikiweka inasema service timeout
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kuna system yao ya billing inazingua... Yaani hata kucheki salio nako ni ishu... Nimekutana na hili la kucheki salio, nikamcheki jamaa hapo Airtel akanipa majibu hayo... Hata hivyo nimepata sms hii hapa toka airtel (at 11h40)......... Dear customer, We apologize for the inability to recharge due to technical challenges. Recharge via Airtel money and get a 25% bonus. Dial *150*60# .........Wakuu najaribu kuweka vocha airtel mbona zinakataa? Ni mimi tu au? Kila nikiweka inasema service timeout
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mwenye airtel Money anaweza akakusaidia kwa kukuwekea toka kwenye airtel money..jamani mimi nimekwama porini nisaidieni airtel hawatoi huduma ya kueka vocha ama kujua salio! Hii ndio tanzania, hakunaga emergency,zimamoto wanafika eneo la tukio wakiwa hawana maji ya kuzima moto!
serial no.710024645105 no.80531195905291 nimeinunua sasa hivi
kuna watu kama omaso mpaka wahakikishe wenyewe hiyo ni kama sadaka kwa faida ya wengineJiandae kulia kwa kuweka hizi namba hapa.
Wakuu najaribu kuweka vocha airtel mbona zinakataa? Ni mimi tu au? Kila nikiweka inasema service timeout
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums