Kun Jr
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 700
- 360
Nimewasikiliza kwa makini kuwa wanashangaa sana kuhusu kuhusu kuhalalisha matokeo kutoka zanzibar kutumika na NEC
pili wameongelea kuhusu ushahidi wa makabrasha kuwa hata wakiingia mezani kujumlisha atashinda nimewapenda sana
N.B nimejaribu kufafanua kwa swahili watz wote waelewe coz wengi watakuja na criticism
====UPDATES===
wamemsikilizisha EMANUEL KAWISHE wa NEC alichoongea lowassa kwenye press conference naona anajikanyaga eti anakitetea CCM kua si watu wa chadema tu walioumizwa na polisi tu hata wa ccm walipigwa sana uko iringa
MTANGAZAJI WA VOA AMEMUULIZA :it seems in tanzania multpaty system is on paper but in real sense it is single party system as situation goes on.........
duh awa watu wanatuvua nguo kabisa wanaijua katiba yetu kuliko sisi
President Lowassa Ocampo four Bavaria
commited
pili wameongelea kuhusu ushahidi wa makabrasha kuwa hata wakiingia mezani kujumlisha atashinda nimewapenda sana
N.B nimejaribu kufafanua kwa swahili watz wote waelewe coz wengi watakuja na criticism
====UPDATES===
wamemsikilizisha EMANUEL KAWISHE wa NEC alichoongea lowassa kwenye press conference naona anajikanyaga eti anakitetea CCM kua si watu wa chadema tu walioumizwa na polisi tu hata wa ccm walipigwa sana uko iringa
MTANGAZAJI WA VOA AMEMUULIZA :it seems in tanzania multpaty system is on paper but in real sense it is single party system as situation goes on.........
duh awa watu wanatuvua nguo kabisa wanaijua katiba yetu kuliko sisi
President Lowassa Ocampo four Bavaria
commited
Last edited by a moderator: