Vizuri kula na nduguzo: Rhumba Odemba

Vizuri kula na nduguzo: Rhumba Odemba

Masiya

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
7,602
Reaction score
7,343
Kusherehekea bethi-dei yangu kihenga 26.08 naweka ngoma ya kihenga kama ilivyopigwa na Bana OK chini ya Vieux Papa Lutumba miaka hii ya 20 something katika mtindo wa Rhumba Odemba ya TP OK Jazz. Sikiliza mabinti wanavyokuimbia wakishirikiana na mkaka.
 
Hii ndiyo rekodi iliyo ilinifanya nimtambue na kumkubali Franco kama mkali wa solo gitaa miaka hiyo 19......
 
Rhumba ya Bakulutu. Hiyo saxa ndiyo inamaliza mambo. bahati mbaya mabinti waliondoka baada ya Franco kufariki wako ulaya na Oemba International ya Dizzy Mndjeku.
Kumbe ,walikua vizuri sana aisee, hii nyimbo juzi youtube ndio nimeisikia kwa mara ya kwanza
Najipanga ni download album yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya Kumsikiliza Vieux Lutumba Simaro, Franco sasa nakuwekea nguli mwingine wa Rhumba Odemba, marehemu Vicky Longomba (Baba yake Awilo na Lovy) hapa akiwa na OK Jazz mwaka 1971 ambao ndiyo wakati aliachana na Franco na kuanzisha bendi yake Orch. Lovy du Zaire. Huyu alikuwa kaka wa Franco (kiumri) na alichangia sana katika kumwonyesha njia za kiutawala kwenye muziki. Co-President wa Band. Ni mwanzilishi wa OK Jazz (1956), Negro Success 1961 na Lovy du Zaire (1971). Ndiyo waimbaji wa kwanza wa OK Jazz-sikiliza sauti yake hapa akisindikizwa na Boyibanda Michaux .
 
Back
Top Bottom