Vizinga vya wanawake vimenifanya niwe single

Vizinga vya wanawake vimenifanya niwe single

yani hali ni mbaya mtaani vyuma vimekaza haswaa, mamanzi hawana chapaa kabisa yani vizinga ndio pona yao
 
Sio kila anaeomba hela anakuwa katika process za kupiga vizinga
Kuna yule anaekutest ili aone reaction yako, na kuna yule ambaye ameshakuchoka anakupiga kizinga ili nawewe umute afu ndo iwe nitolee hiyo
Mna mbinu, ila mwanamke akikupenda kweli na ukaelewa unatakiwa umfanyie nini hakupigi vizinga kabisa, ukijua kumhudumia vyema na kumjali wala hutopigika hata ukiwa kweny hali mbaya atakuelewa ni kwa mwenye upendo wa kweli, kila nkitaka chepuka napigwa vizinga hatari najikuta nabak njia kuu maana najua kabisa ntaliwa pesa zangu
 
Tulia,utampata tu.....yaan mm ilikuwa demu akiniambia tu hana mb,sjui njaa inauma bhc nafuta namba mpk nilipokuja kumpata mtoto mmoja ana mapenzi sio ya nchi hii....yy anataka upendo tu,akija kwangu hata nauli tu hataki nimpe yaan utaskia"baby najua hujaanza kuwa na hela za kunihudumia so keep that money please " mpk namshangaa sana......akija kwangu atabeba vipochopocho vya hapa na pale .....kiukweli kanifanya nmeacha michepuko yote maana kumsaliti mwanamke wa hivi mm roho inauma....so calm down, achana na hao slay Queens
 
Sio kila anaeomba hela anakuwa katika process za kupiga vizinga
Kuna yule anaekutest ili aone reaction yako, na kuna yule ambaye ameshakuchoka anakupiga kizinga ili nawewe umute afu ndo iwe nitolee hiyo
How do u differentiate the real and the fake?
 
Habar wakuu..

Mapenz ya zama za zamani yalikuwa mazuri mnoo mana ilikuwa sio rahisi kukutana na meseji za vizinga vya ovyo ovyo mpk inafikia stage mwanaume unaona ngoja nimpatie chochote kitu mubebe huyo.

Lakini zama hzi mapenz yamebadilika saana zaid ya sana, mwanamke ukimtongoza leo kesho keshakuwa yatima hana hela ya kodi, hana hela ya kula, hana hela saloon, mara birthday yake ishafika, mara mchango wa harusi ya rafiki yke ushafika, mara luku imeisha, mara anataka smartphone, mara kesho hyohyo n mgonjwa anataka pesa ya dawaa yaani hadi kero.

Juz kat nilikutana na manzi mmoja tukabadilishana namba sasa kwasababu ya ubize wa hapa na pale ckuweza mtext cku hyo hyo ilipofka cku yapili akanivutia sms ya kusema kwann nipo kimya wakat nimechukua namba yake au nmechukua km pambo, nkaona isiwe kesi mtoto anataka voko huyu bas kupiga sms mbili tatu mtt akajibu amekubaali somoo, ikabidi nmuombe picha zake wasap picha ikaanza mtt akasema hana MB nkaona isiwe shida nkatupa ka buku ajiunge data..... mpk imefika saa mbili usiku naona sms "babe mwenzako sina ata hela ya kula ntumie ata 10000" nkajiuliza maswal penz ata siku tatu bado anaomba hela ya kula hapo mwanzon alikuwa anakula nn?? Nkajiuliza tena au hiki kizinga ni cha registration fee?!!?

Kiukwel hii hali inanitokea kwa wanawake wengi mpaka najiuliza au nina nyota ya kula vizinga tuu mm,,,

Inafika wakat naona bora niwe single kuepuka hz kero za vizingaa vya hawa viumbe.. Au wenzangu mnatumia techniques gan kuepukana na hili balaa la vizinga....
Sisi wanaume wenzio huwa tunachukua namba 10 hadi 15 kwa siku kisha tunafanya mchujo hadi anabaki 1,sasa wewe pambana na hali yako na uzembe wako wa kuchukua namba moja kwa wiki wakati ilibidi uwe umeshachukua namba 100 ufanye mchujo hadi upate grade one
 
Habar wakuu..
Mapenz ya zama za zamani yalikuwa mazuri mnoo mana ilikuwa sio rahisi kukutana na meseji za vizinga vya ovyo ovyo mpk inafikia stage mwanaume unaona ngoja nimpatie chochote kitu mubebe huyo.
Lakini zama hzi mapenz yamebadilika saana zaid ya sana, mwanamke ukimtongoza leo kesho keshakuwa yatima hana hela ya kodi, hana hela ya kula, hana hela saloon, mara birthday yake ishafika, mara mchango wa harusi ya rafiki yke ushafika, mara luku imeisha, mara anataka smartphone, mara kesho hyohyo n mgonjwa anataka pesa ya dawaa yaani hadi kero.
Juz kat nilikutana na manzi mmoja tukabadilishana namba sasa kwasababu ya ubize wa hapa na pale ckuweza mtext cku hyo hyo ilipofka cku yapili akanivutia sms ya kusema kwann nipo kimya wakat nimechukua namba yake au nmechukua km pambo, nkaona isiwe kesi mtoto anataka voko huyu bas kupiga sms mbili tatu mtt akajibu amekubaali somoo, ikabidi nmuombe picha zake wasap picha ikaanza mtt akasema hana MB nkaona isiwe shida nkatupa ka buku ajiunge data..... mpk imefika saa mbili usiku naona sms "babe mwenzako sina ata hela ya kula ntumie ata 10000" nkajiuliza maswal penz ata siku tatu bado anaomba hela ya kula hapo mwanzon alikuwa anakula nn?? Nkajiuliza tena au hiki kizinga ni cha registration fee?!!?
Kiukwel hii hali inanitokea kwa wanawake wengi mpaka najiuliza au nina nyota ya kula vizinga tuu mm,,,
Inafika wakat naona bora niwe single kuepuka hz kero za vizingaa vya hawa viumbe.. Au wenzangu mnatumia techniques gan kuepukana na hili balaa la vizinga....
Maisha magumu mtaani mzee..
 
yani hali ni mbaya mtaani vyuma vimekaza haswaa, mamanzi hawana chapaa kabisa yani vizinga ndio pona yao
Wapunguzee vimezidi saana... Ukitongoza fasta kukubaliwa ila sasa vizinga vtakavyokuja hapo utajutaa
 
Back
Top Bottom