General Akudo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 560
- 829
tafuta pesa, tumia na warembo. acha kulia lia
😂 😂 😂 amri ya nane DabyHata hapa nimeshakutongoza mbon....au unataka watu wazima hadi tuanze kuuliza maswali ya vijana kweli!! Eti nakupenda??
Ndiyo maana yake..Tunazipenda ela zenu nanyi mnazipenda pia.. bas kila mtu abaki na zake.....![]()
Khaaa..
Tena hai ndio wanapiga ndefuHakuna mwanamke ambae hapendi hela.hata wa oysterbay wanapiga vizinga tu.
Mna mbinu, ila mwanamke akikupenda kweli na ukaelewa unatakiwa umfanyie nini hakupigi vizinga kabisa, ukijua kumhudumia vyema na kumjali wala hutopigika hata ukiwa kweny hali mbaya atakuelewa ni kwa mwenye upendo wa kweli, kila nkitaka chepuka napigwa vizinga hatari najikuta nabak njia kuu maana najua kabisa ntaliwa pesa zanguSio kila anaeomba hela anakuwa katika process za kupiga vizinga
Kuna yule anaekutest ili aone reaction yako, na kuna yule ambaye ameshakuchoka anakupiga kizinga ili nawewe umute afu ndo iwe nitolee hiyo



How do u differentiate the real and the fake?Sio kila anaeomba hela anakuwa katika process za kupiga vizinga
Kuna yule anaekutest ili aone reaction yako, na kuna yule ambaye ameshakuchoka anakupiga kizinga ili nawewe umute afu ndo iwe nitolee hiyo
Kuna mawili...Unapimwa hapo, au ndo tabia zakeSasa mahusiano hayana ata siku tatu amenichokaje?? Au huoni aibu ata sku tat bado waleta vizingaaa km mvuaaa
How do u differentiate the real and the fake?
Sisi wanaume wenzio huwa tunachukua namba 10 hadi 15 kwa siku kisha tunafanya mchujo hadi anabaki 1,sasa wewe pambana na hali yako na uzembe wako wa kuchukua namba moja kwa wiki wakati ilibidi uwe umeshachukua namba 100 ufanye mchujo hadi upate grade oneHabar wakuu..
Mapenz ya zama za zamani yalikuwa mazuri mnoo mana ilikuwa sio rahisi kukutana na meseji za vizinga vya ovyo ovyo mpk inafikia stage mwanaume unaona ngoja nimpatie chochote kitu mubebe huyo.
Lakini zama hzi mapenz yamebadilika saana zaid ya sana, mwanamke ukimtongoza leo kesho keshakuwa yatima hana hela ya kodi, hana hela ya kula, hana hela saloon, mara birthday yake ishafika, mara mchango wa harusi ya rafiki yke ushafika, mara luku imeisha, mara anataka smartphone, mara kesho hyohyo n mgonjwa anataka pesa ya dawaa yaani hadi kero.
Juz kat nilikutana na manzi mmoja tukabadilishana namba sasa kwasababu ya ubize wa hapa na pale ckuweza mtext cku hyo hyo ilipofka cku yapili akanivutia sms ya kusema kwann nipo kimya wakat nimechukua namba yake au nmechukua km pambo, nkaona isiwe kesi mtoto anataka voko huyu bas kupiga sms mbili tatu mtt akajibu amekubaali somoo, ikabidi nmuombe picha zake wasap picha ikaanza mtt akasema hana MB nkaona isiwe shida nkatupa ka buku ajiunge data..... mpk imefika saa mbili usiku naona sms "babe mwenzako sina ata hela ya kula ntumie ata 10000" nkajiuliza maswal penz ata siku tatu bado anaomba hela ya kula hapo mwanzon alikuwa anakula nn?? Nkajiuliza tena au hiki kizinga ni cha registration fee?!!?
Kiukwel hii hali inanitokea kwa wanawake wengi mpaka najiuliza au nina nyota ya kula vizinga tuu mm,,,
Inafika wakat naona bora niwe single kuepuka hz kero za vizingaa vya hawa viumbe.. Au wenzangu mnatumia techniques gan kuepukana na hili balaa la vizinga....
Maisha magumu mtaani mzee..Habar wakuu..
Mapenz ya zama za zamani yalikuwa mazuri mnoo mana ilikuwa sio rahisi kukutana na meseji za vizinga vya ovyo ovyo mpk inafikia stage mwanaume unaona ngoja nimpatie chochote kitu mubebe huyo.
Lakini zama hzi mapenz yamebadilika saana zaid ya sana, mwanamke ukimtongoza leo kesho keshakuwa yatima hana hela ya kodi, hana hela ya kula, hana hela saloon, mara birthday yake ishafika, mara mchango wa harusi ya rafiki yke ushafika, mara luku imeisha, mara anataka smartphone, mara kesho hyohyo n mgonjwa anataka pesa ya dawaa yaani hadi kero.
Juz kat nilikutana na manzi mmoja tukabadilishana namba sasa kwasababu ya ubize wa hapa na pale ckuweza mtext cku hyo hyo ilipofka cku yapili akanivutia sms ya kusema kwann nipo kimya wakat nimechukua namba yake au nmechukua km pambo, nkaona isiwe kesi mtoto anataka voko huyu bas kupiga sms mbili tatu mtt akajibu amekubaali somoo, ikabidi nmuombe picha zake wasap picha ikaanza mtt akasema hana MB nkaona isiwe shida nkatupa ka buku ajiunge data..... mpk imefika saa mbili usiku naona sms "babe mwenzako sina ata hela ya kula ntumie ata 10000" nkajiuliza maswal penz ata siku tatu bado anaomba hela ya kula hapo mwanzon alikuwa anakula nn?? Nkajiuliza tena au hiki kizinga ni cha registration fee?!!?
Kiukwel hii hali inanitokea kwa wanawake wengi mpaka najiuliza au nina nyota ya kula vizinga tuu mm,,,
Inafika wakat naona bora niwe single kuepuka hz kero za vizingaa vya hawa viumbe.. Au wenzangu mnatumia techniques gan kuepukana na hili balaa la vizinga....
Imekuwaa hadi keroooHuyo omba omba.
Akitongozwa anaona kama kapata ajira mpya
Haahhaah inaonekana na ww upo kwa wapigaji vizingaBaki na hamu zako (in Vee money's voice)

Wapunguzee vimezidi saana... Ukitongoza fasta kukubaliwa ila sasa vizinga vtakavyokuja hapo utajutaayani hali ni mbaya mtaani vyuma vimekaza haswaa, mamanzi hawana chapaa kabisa yani vizinga ndio pona yao