Unamuongelea Daudi BASHITE au Makonda?Huyo hajawahi fanikiwa jambo zaidi ya kupenda kiki ,ni Kweli Fa fa fa fa
Bado tunasubiri office zetu za BAKWATAJamani viwanja vya bwana mdogo makonda vp? Vimeishia wapi? Mbona kimya sana, watumishi wa umma Dar tujibuni mmeshapata?
Mungu anamuona lakini, huu uongo wake utafika tamatimtasubiri sana.
Fools For Four Forms Fighting For FoodJamani viwanja vya bwana mdogo makonda vp? Vimeishia wapi? Mbona kimya sana, watumishi wa umma Dar tujibuni mmeshapata?
lini wakati 2025 kama babake atapenda kuendelea na yeye atakuwa kwenye sirikali..Mungu anamuona lakini, huu uongo wake utafika tamati
Jamani viwanja vya bwana mdogo makonda vp? Vimeishia wapi? Mbona kimya sana, watumishi wa umma Dar tujibuni mmeshapata?